juliana kwembe
Member
- Feb 27, 2015
- 35
- 35
Ni wazi sasa kuwa kambi ya Mizengo Pinda na Bernard Membe wameanza kupanga mbinu chafu za kumchafua Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa.
Pinda na Membe wamepandwa na hasira zaidi mara baada ya kuona wananchi wa kada na rika tofauti wakienda nyumbani kwa Lowassa maeneo ya Area D, Dodoma na kumuomba atangaze nia na kisha achukue fomu ya kugombea urais.
Wale watu mbalimbali ambao wameshiriki kwenda kumuomba wameanza kuandamwa na kambi ya Membe na kambi ya Pinda kwa kuanza kuwarubuni kwa kuwapa rushwa waitishe vyombo vya habari na wapindishe uhalisia wa tukio.
Watu hao wanapewa pesa ili waseme kuwa Lowassa amewapa pesa, chakula, malazi na usafiri wa kwenda pale na wala hayakuwa malengo yao na wamefuata pesa tu.
Wanaorubuniwa kwenda kusema maneno ya ovyo ni wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma, masheikh pamoja na wachungaji ambao asilimia kubwa wamegoma kwenda kuisaliti mioyo yao kwa kusema uongo tofauti na uhalisia ulivyo.
Mathalani upande wa vyuoni, Vijana waliopewa kazi ya kuhakikisha hili swala linatekelezwa Ni Mwenyekiti Wa UVCCM wilaya ya Katavi(Jina linahifadhiwa).
Wanafunzi walioahidiwa kupewa fedha ili wafanye harakati hizo chafu Ni Rutagibwa, ikumbukwe Rutagibwa Ni miongoni mwa baadhi ya wafuasi Wa Membe ambao wamebaki watiifu Kwa Membe baada ya kutengenezewa trip ya kwenda China kati ya marais 25 waliopewa bongo hiyo ya safari
kimkakati ili kuwekeza ushawishi vyuoni kutoka UDOM.
Wengine ni Rais Wa Chuo cha Madini Bwana Magesa F. Magesa. Na Rais Wa chuo cha St. John. Hawa ndio wa Ratiba Wa mkakati pale Udom dhidi ya siasa chafu ya kikachero na kuhonga wanafunzi fedha ili waandamane kupinga ushawishi juu ya Nguvu ya EDO chuoni.
Ili kukamilisha mkakati wao hawa makachero wanaoibuikia wamejipanga Kwa mbinu zifuatazo:-
1. Upo ushahidi Wa baadhi ya viongozi Wa serikali za wanafunzi kupigiwa simu na kuobwa wakanushe taarifa zao kwenye hadhara. Kwamba kuandamana kwao kwenda Kwa EDO walishinikizwa. Japo viongozi hao hakuna aliekubali hadi sasa.
2. Wako baadhi ya wanafunzi wanaoaminika kuwa Ni kwenye ushawishi wamepigiwa simu wakiombwa wataje dau ili wasaliti kambi ya EDO hata hivyo namna aliekubali hadi sasa.
Wako baadhi ya wanafunzi wameitwa kwenye vikao vya kikachero na kujadili na kupanga bajeti itakayo kizi kuwezesha kupata usafiri yaani kukodi magari na posho za wanafunzi ili wakusanywe mahala na wafanye maandamano ili kupinga kile ambacho watanzania wote tulishuhudia wanafunzi waliminika Kwa EDo kushauli atanhaze nia.
Pia wako wanafunzi walithubutu kuonesha misimamo yao kufa pamoja na EDO wametishiwa kufanya vibaya licha ya kuwa haijawekwa wazi Mpango wao je, Ni kuwateka au la?
Kuna ujumbe umenaswa ukienda kwa Mwenyekiti wa wanazuoni ili awasiliane na Mwenyekiti wa UVCCM katavi ampeleke kwa Mh. Pinda.
Mwenyekiti huyo ameambiwa endapo atakubali kufanya mchezo huu mchafu wa kuigiza kuwa wanampinga Lowassa wamehaidiwa kupewa kiasi cha Tsh. Milioni 50 za uratibu na kumaliziwa kiasi cha Tsh. milioni 30 za ahsante.
Wakati watu wakifa mahospitalini kwa kukosa madawa wao akina Membe na Pinda wanateketeza mamilioni ya shilingi kwa ajili ya upuuzi tu.
Hizo fedha kwanini hawazitoi kwa ajili ya mapambano dhidi ya mauaji ya maalbino, ama kusaidia wahanga wa mafuriko kama walivyojitokeza Mbowe na Lowassa kuwasaidia wahanga wa Mwakata Kahama?
Mpaka sasa watu wamegoma kufanya hivyo na wamepandishiwa dau na endapo watagoma tena basi wameambiwa watafanyiwa kitu mbaya.
Pinda na Membe wamepandwa na hasira zaidi mara baada ya kuona wananchi wa kada na rika tofauti wakienda nyumbani kwa Lowassa maeneo ya Area D, Dodoma na kumuomba atangaze nia na kisha achukue fomu ya kugombea urais.
Wale watu mbalimbali ambao wameshiriki kwenda kumuomba wameanza kuandamwa na kambi ya Membe na kambi ya Pinda kwa kuanza kuwarubuni kwa kuwapa rushwa waitishe vyombo vya habari na wapindishe uhalisia wa tukio.
Watu hao wanapewa pesa ili waseme kuwa Lowassa amewapa pesa, chakula, malazi na usafiri wa kwenda pale na wala hayakuwa malengo yao na wamefuata pesa tu.
Wanaorubuniwa kwenda kusema maneno ya ovyo ni wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma, masheikh pamoja na wachungaji ambao asilimia kubwa wamegoma kwenda kuisaliti mioyo yao kwa kusema uongo tofauti na uhalisia ulivyo.
Mathalani upande wa vyuoni, Vijana waliopewa kazi ya kuhakikisha hili swala linatekelezwa Ni Mwenyekiti Wa UVCCM wilaya ya Katavi(Jina linahifadhiwa).
Wanafunzi walioahidiwa kupewa fedha ili wafanye harakati hizo chafu Ni Rutagibwa, ikumbukwe Rutagibwa Ni miongoni mwa baadhi ya wafuasi Wa Membe ambao wamebaki watiifu Kwa Membe baada ya kutengenezewa trip ya kwenda China kati ya marais 25 waliopewa bongo hiyo ya safari
kimkakati ili kuwekeza ushawishi vyuoni kutoka UDOM.
Wengine ni Rais Wa Chuo cha Madini Bwana Magesa F. Magesa. Na Rais Wa chuo cha St. John. Hawa ndio wa Ratiba Wa mkakati pale Udom dhidi ya siasa chafu ya kikachero na kuhonga wanafunzi fedha ili waandamane kupinga ushawishi juu ya Nguvu ya EDO chuoni.
Ili kukamilisha mkakati wao hawa makachero wanaoibuikia wamejipanga Kwa mbinu zifuatazo:-
1. Upo ushahidi Wa baadhi ya viongozi Wa serikali za wanafunzi kupigiwa simu na kuobwa wakanushe taarifa zao kwenye hadhara. Kwamba kuandamana kwao kwenda Kwa EDO walishinikizwa. Japo viongozi hao hakuna aliekubali hadi sasa.
2. Wako baadhi ya wanafunzi wanaoaminika kuwa Ni kwenye ushawishi wamepigiwa simu wakiombwa wataje dau ili wasaliti kambi ya EDO hata hivyo namna aliekubali hadi sasa.
Wako baadhi ya wanafunzi wameitwa kwenye vikao vya kikachero na kujadili na kupanga bajeti itakayo kizi kuwezesha kupata usafiri yaani kukodi magari na posho za wanafunzi ili wakusanywe mahala na wafanye maandamano ili kupinga kile ambacho watanzania wote tulishuhudia wanafunzi waliminika Kwa EDo kushauli atanhaze nia.
Pia wako wanafunzi walithubutu kuonesha misimamo yao kufa pamoja na EDO wametishiwa kufanya vibaya licha ya kuwa haijawekwa wazi Mpango wao je, Ni kuwateka au la?
Kuna ujumbe umenaswa ukienda kwa Mwenyekiti wa wanazuoni ili awasiliane na Mwenyekiti wa UVCCM katavi ampeleke kwa Mh. Pinda.
Mwenyekiti huyo ameambiwa endapo atakubali kufanya mchezo huu mchafu wa kuigiza kuwa wanampinga Lowassa wamehaidiwa kupewa kiasi cha Tsh. Milioni 50 za uratibu na kumaliziwa kiasi cha Tsh. milioni 30 za ahsante.
Wakati watu wakifa mahospitalini kwa kukosa madawa wao akina Membe na Pinda wanateketeza mamilioni ya shilingi kwa ajili ya upuuzi tu.
Hizo fedha kwanini hawazitoi kwa ajili ya mapambano dhidi ya mauaji ya maalbino, ama kusaidia wahanga wa mafuriko kama walivyojitokeza Mbowe na Lowassa kuwasaidia wahanga wa Mwakata Kahama?
Mpaka sasa watu wamegoma kufanya hivyo na wamepandishiwa dau na endapo watagoma tena basi wameambiwa watafanyiwa kitu mbaya.