Tanzania hakuna Kiongozi aliye msaafi kiasi cha kumnyooshea mwenzake kidole, ufisadi Tz ni kama sifa, watu wanapiga kuanzia pesa za kanisa kama Slaa, na Ruzuku za vyama, pesa za bajeti huko kwenye Mawizara, yaani huku Tz ni full ufisadi kila sekta, Viongozi wengi wanaishi maisha kinyume na mishahara yao, siku ikitokea Rais jasiri aamue kuwaleta FBI wawachunguze Viongozi wa Tz mmoja baada ya Mwingine nina imani wote watapelekwa segerea moja kwa moja, Mfumo wetu umejaa mianya mingi ya kufanikisha wizi.
Tunaomba ushaidi wa izo pesa za kanisa alizokula slaa na kama hauna kaa kimya milele