pgasper
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 311
- 70
Hilo la kauli kuitolea bungeni..Huko ni kudilisika kimawazo. Huyu Pinda si ndiye mliyekuwa mnamwita mpole mdhaifu. Halafu kumbukeni kuwa kauli ile katoa ndani ya ukumbi wa Bunge ambao una kinga kisheria. Vinginevyo waache wauze tu sura na wao wajipatie kipato
sijui kinga ya woteva..
watajibu mahakamani.
Cha muhimu Pinda kafikishwa mahakamani kwa kauli zake za kikatili, kiuaji...
hata mahakama ikitupia hilo shitaka., rekodi haitatupwa.