Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
nchi ambayo haina vision .....sijui tunategemea tuweze kuendelea kwa misingi ipi!
nchi za wenzetu kama Japan, mawaziri wakuu wanajiuzulu kila kukicha, lakini hakuathiri uchumi wa nchi kwa sababu tayari wana vision yao, na wanajua wanaongozana vipi......sie kila anayekuja anakuja na ujuzi wake ambao ni ulaji tu....
nchi za wenzetu kama Japan, mawaziri wakuu wanajiuzulu kila kukicha, lakini hakuathiri uchumi wa nchi kwa sababu tayari wana vision yao, na wanajua wanaongozana vipi......sie kila anayekuja anakuja na ujuzi wake ambao ni ulaji tu....