Mleta hoja nakubaliana na wewe 100 %!!
Kwa kweli hii ni aibu kwa nchi pia. Haiwezekani viongozi wakuu wa nchi, wachujwe na kamati ya maadili halafu tuendelee business as usual. Only in Tanzania. Ingeonekana ni kawaida kama wangeshindwa kwa kura ila hii ya kupigwa chini na kamati ya maadili is real questionable!! Jaji Mkuu mstaafu, Spika Mstaafu, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu wapigwa chini na kamati ya maadili!!? Ni AIBU kubwa. Hii imetupa picha halisi ya Viongozi wetu kuwa siyo waadilifu!! Ingekuwa kwa wenzetu, naamini Makamu na Waziri Mkuu wangeshaamua kuachia ngazi by now .... ila Bongo, hatoki mtu hapa mpaka utolewe!!
Kwa sasa Rais yuko nje ya nchi.... kwa nini kawaachia watu asiowaamini au wasio na maadili!!? Kwa sasa inabidi awachie watu kama akina Magufuli, January au Asha Rose ndiyo wa-act ikiwa nje ya nchi.
Kwa kweli hawa watu inabidi wajipime tena kama kweli bado wanastahili kurudi walau bungeni!!
Na hii ndiyo complaint ya Kingunge kuwa taratibu zilikiukwa. Huyu Magufuli wala hakuwa anatarajia kufikia hatua hiyo. Je, atakuwa sasa anasiadiwa rais mstaafu endapo atachaguliwa kuwa rais? Jamaa hakutegemea kabisa na wala hakujiandaa for sucj a big post.