hakuanza leo!!
Meremeta alisema ni suala linalohusu usalama wa taifa!!
EPA alisema wakikamatwa watatikisa nchi!!
VX aliyoidhinisha mwenyewe akaikataa wakati wenzie wanaitumia!
UDOM akienda na kugeuza bila hata kutoa tamko rasmi la seikali juu ya tatizo lililopo!
Kwa hili la Dowans angesema tofauti ningemshangaa!!