kisururu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 331
- 93
Jamani leo hii pinda kwa kivuli cha wabunge pamoja na AG amewaita baadhi ya viongozi wa TANESCO pale blue pearl na kuwaambia waanze kuilipa DOWANS.Huyu Pinda ni mbwa mwitu kwenye ngozi ya kondoo hakuna cha utoto wa ukulima tena.
Jamani nchi hii inaelekea wapi?
Jamani nchi hii inaelekea wapi?