Pima macho yako hapa

Pima macho yako hapa

Hahahaha...umekunywa ngapi kwani?? Ukilaza nakataa...nakusoma sana hapa.
Siju nimekunywa ngapi... mpaka mhudumu aniletee bill... Na hapo ndipo wanaponipiga bao hawa wafanyakazi bora wa bar wasiojua kusema NO ukiwaomba papuchi
 
Siju nimekunywa ngapi... mpaka mhudumu aniletee bill... Na hapo ndipo wanaponipiga bao hawa wafanyakazi bora wa bar wasiojua kusema NO ukiwaomba papuchi
Sasa kwanini hao wanagoma na bili wanaongeza??
 
Mtu kavaa kofia kam ya mviringo ivi, ana ndevu afu sijui kam mzungu ivi mkuu, sikio ndo kofia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom