Pima IQ yako kidogo

Pima IQ yako kidogo

20PROFF

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
8,217
Reaction score
7,255
Hebu kajaribu haka kaswali.

Quote au Tag nije nikwambie kama umekosa au umepata.
 
Hii michezo ya kihesabati na logic haipimi uwezo halisi wa mtu.Mfano bibi ambaye yupo kijijini asiye na uwezo wa maths anaweza akawa ana akili lakini asiyajue hayo maswali kwsababu hakuenda shule

Na pia theory of multiple intelligence ime revolutionize how we think kuhus haya mambo ya intelligence

Hilo swali ni irrelevant
 
Hii michezo ya kihesabati na logic haipimi uwezo halisi wa mtu.Mfano bibi ambaye yupo kijijini asiye na uwezo wa maths anaweza akawa ana akili lakini asiyajue hayo maswali kwsababu hakuenda shule

Na pia theory of multiple intelligence ime revolutionize how we think kuhus haya mambo ya intelligence

Hilo swali ni irrelevant

Vip swali limekuwa gumu mkuu…?
hakun aliesema kuwa atakayokos hili swali ni kuwa hana akili
 
Vip swali limekuwa gumu mkuu…?
hakun aliesema kuwa atakayokos hili swali ni kuwa hana akili

Title ya thread yako inasema "Pima iq yako kidogo".

Kwa maana nyingine ni kwamba uwezo wako wa kuli tackle hilo swali ni directly proportional to your IQ.Jibu la hilo swali ni kigezo cha uwingi wa IQ yako

Sasa mi nikatoa mfano wa bibi na theory of multiple intellligence ku render jibu la hilo swali useless/irrelevant
 
Title ya thread yako inasema "Pima iq yako kidogo".

Kwa maana nyingine ni kwamba uwezo wako wa kuli tackle hilo swali ni directly proportional to your IQ.Jibu la hilo swali ni kigezo cha uwingi wa IQ yako

Sasa mi nikatoa mfano wa bibi na theory of multiple intellligence ku render jibu la hilo swali useless/irrelevant

Hebu kwanza nipe jibu ni ngapi then we will talk……!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom