Pilipili ni mkombozi wetu wanaume

Pilipili ni mkombozi wetu wanaume

Najua kuna ambao utawashika tu,ukiwa na shida utalishwa hadi mavi
 
Basi achana na hiyo, karibu mahanjumati...

150651_512979272056203_1188624921_n.jpg


Au kama vipi

288923_537989189561929_825930751_o.jpg

nitumie kwa bluetooth
 
Hapa watu mnataka kuuwana na hizi tiba zenu za ajabu.
 
Hapa watu mnataka kuuwana na hizi tiba zenu za ajabu.
wabongo bhana! Yani kwakua dawa ina tolewa na m-bongo mwenzenu mna piinga, ila ningekua mzungu anhaa! Tubadilikeni mandugu pilipili ni mkombozi wetu wanaume
 
Hivi pilipili+Chumvi+maji ya limao=Dawa ya kukuza uume!! Hivi mchanganyiko huu si utakuwasha mpaka uzimie!!! Kwa hakika sijaelewa jambo hili.
 
tunasubiri majibu ya watakao tumia hii dawa watuambie nao kama imewaponya
 
nasikia naww yakwako ni ndogo....................
Kwani wewe Asnam unapenda dushelele ya aina ipi? Ila kabla hujalala,hebu chungulia hii ya kwangu inakufaa?
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa.... Kama nawaona vile watu fudenge watakavyojisiliba hayo mapilipili na malimao usiku wa leo..!
 
Naona unataka kuwaunguza wenzako kwa technology tofauti.

hahahahah Mkuu soon utaona demand ya Pilipili inakuwa kubwa na ndimu halafu vyote vitapanda bei hahahahahha Mkuu huyu jamaa lzm awe mkulima wa pilipili anaipigia promo hahahahahahaha
 
seriously????????////!!!!!!:A S 39::eyeroll1:,,,ucje unguza vidude vya wanaume wenzio kwa ushauri wako coz pilipili ni uatata....
 
Back
Top Bottom