Pilipili mwendokasi katika kukuza uchumi kwa mkulima

Ukiona hawa wanaojiita "wataalamu" wanakupa mchanganuo wa "kitaalamu" kwa gharama za juu halafu wao ndio wanauza mbegu na mbolea na mwisho wao ndio wanunuzi au watakutafutia masoko ya uhakika ujue 99% ni matapeli

Watakuuzia mbegu na madawa na utaalamu kwa bei ghali kweli kweli kisha muda wa mavuno au mambo yakienda mrama hutawaona tena

Wapo kuuza mbegu na madawa kwa bei ya juu tu
 
5m? Jamani tuache wadanganya watu.Mie nalima Mwendokasi(Yellow Habanero) nipo Mbezi Msumi-Na kwa yeyote anaetaka kujifunza namkalibisha bure bila malipo yoyote.Na soko Kubwa kwa Dar ni Kigogo Sambuza ikifatiwa na Ilala na Stereo.Tuache watisha watu kwa taarifa zizizo sahihi.

Mkuu mimi nalima lkn sijapata soko la uhakika, vipi unajua wanunuzi uniunganishe nao? Nimelima hekari 5 kwa sasa.
 
Ukiona hawa wanaojiita "wataalamu" wanakupa mchanganuo wa "kitaalamu" kwa gharama za juu halafu wao ndio wanauza mbegu na mbolea na mwisho wao ndio wanunuzi au watakutafutia masoko ya uhakika ujue 99% ni matapeli

Watakuuzia mbegu na madawa na utaalamu kwa bei ghali kweli kweli kisha muda wa mavuno au mambo yakienda mrama hutawaona tena

Wapo kuuza mbegu na madawa kwa bei ya juu tu

Walikuja Moro 2016wakitokea Dom..kuna pilipili tukaambiwa watu tulime..zonaitwa eye bird kama sikosei...ohh kilo tutanunua 1700 acha watu walime...walionekana basi??/.pyee
 
Back
Top Bottom