Pilau la njegere

Pilau la njegere

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,457
Reaction score
65,765
Hello

Leo bhna tupike pamoja pilau la njegere

Kwanza niliandaa vitu vyangu mapema kabisa
Nikaanza na kuweka mafuta kwenye sufuria baada ya hapo nikaweka kitunguu swahumu
1743006895978.jpeg

Baada ya hapo nikaweka nyama iliochemshwa nikaweka
1743007010140.jpeg

Kisha nikaweka kiungo cha pilau
1743007073059.jpeg

Nikachanganya ipasavyo kisha nikaweka viazi na kitunguu maji
1743007121905.jpeg
Navyo kikavikaanga kwa muda kisha nikaweka karoti
1743007169782.jpeg

Baada ya hapo navyo nikachanga kuikaanga karoti nikaweka nyanya nyanya kwenye pilau inaleta radha mzuri pia rangi ya chakula kinakuwa pia nzuri
1743007281183.jpeg

Nyanya haitakiwi kuiva sana nikaweka mchele mchele usioshe mwanzo osha baada ya kuanza kupika kuna wengine wanaosha mchele kabla ata kuandaa mahitaji inapelekea mchele kukatika
1743007399401.jpeg

Baada ya hapo nikaweka supu ya nyama unaweza tumia maji ya kawaida ila mimi napenda kutumia supu

1743007457260.jpeg

Basi baada ya hapo nikafunika kuacha maji kauke ili niweke njegere baada ya kuona maji yamekauka nikaweka njegere
1743007539592.jpeg

Kisha nikafunika epuka kukologa kologa kuna watu wakipika watakologa kologa mpaka pilau linaonekana umetumia mchele wa chenga na kusingizia mchele mbaya la usikoroge basi baada ya muda nikafunua ili kuzichanganya
1743007664731.jpeg

Na nilipoona zimeiva vizuri nikaipua baada ya kuzichanganya niliziacha jikoni kwa muda
1743007726388.jpeg

Mnakaribishwa wotee nikatengeneza na kachumbari yangu hiyo
1743007883531.jpeg

Karibuni kwetu
1743007938349.jpeg
 
Hello

Leo bhna tupike pamoja pilau la njegere

Kwanza niliandaa vitu vyangu mapema kabisa
Nikaanza na kuweka mafuta kwenye sufuria baada ya hapo nikaweka kitunguu swahumu
View attachment 3284091
Baada ya hapo nikaweka nyama iliochemshwa nikaweka
View attachment 3284099
Kisha nikaweka kiungo cha pilau
View attachment 3284102
Nikachanganya ipasavyo kisha nikaweka viazi na kitunguu maji
View attachment 3284107Navyo kikavikaanga kwa muda kisha nikaweka karoti
View attachment 3284114
Baada ya hapo navyo nikachanga kuikaanga karoti nikaweka nyanya nyanya kwenye pilau inaleta radha mzuri pia rangi ya chakula kinakuwa pia nzuri
View attachment 3284126
Nyanya haitakiwi kuiva sana nikaweka mchele mchele usioshe mwanzo osha baada ya kuanza kupika kuna wengine wanaosha mchele kabla ata kuandaa mahitaji inapelekea mchele kukatika
View attachment 3284138
Baada ya hapo nikaweka supu ya nyama unaweza tumia maji ya kawaida ila mimi napenda kutumia supu

View attachment 3284141
Basi baada ya hapo nikafunika kuacha maji kauke ili niweke njegere baada ya kuona maji yamekauka nikaweka njegere
View attachment 3284151
Kisha nikafunika epuka kukologa kologa kuna watu wakipika watakologa kologa mpaka pilau linaonekana umetumia mchele wa chenga na kusingizia mchele mbaya la usikoroge basi baada ya muda nikafunua ili kuzichanganya
View attachment 3284160
Na nilipoona zimeiva vizuri nikaipua baada ya kuzichanganya niliziacha jikoni kwa muda
View attachment 3284164
Mnakaribishwa wotee nikatengeneza na kachumbari yangu hiyo
View attachment 3284171
Karibuni kwetu
View attachment 3284174
View nzuri sana😍
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom