Pikipiki mpya za kichina zinauzwa

Pikipiki mpya za kichina zinauzwa

jokielias

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
1,210
Reaction score
363
Habari kwa wadau wa pikipiki za kichina,
Napenda kuwafahamisha tuna stock mpya ya pikipiki aina ya REMEX FIGHTER , Imetengenezwa kisasa zaidi, ina engine cc 150 ni imara, ina spidi, ina nguvu na inapiga kazi kwenye mazingira yote.
Bei ni rahisi kabisa kwa Million 1,750,000 tu. Unapata REMEX MPYA.
Tunakupa warranty ya matengenezo bure ya mwaka mzima. pamoja na usajili wa kadi tunakufanyia bure. Wadau wa mikoani tunawasafirishia pikipiki. (Gharama za usafiri utalipia)

Spea zinapatikana kwetu na kwa mawakala wetu wote wanaouza spea za kichina Tanzania nzima.
Fika ofisini kwetu, MSASANI, kituo cha Macho, utaona Duka la pikipiki limeandikwa Quality Motors ltd.
Mawasiliano
Afsa Mauzo
SIMU- 0717518359. WHATSAPP- 0689866100.
KARIBUNI WADAU.

RMX 8.jpg
RMX 3.jpg
RMX 10.jpg
 

Attachments

  • RMX 1.jpg
    RMX 1.jpg
    129.3 KB · Views: 508
Zinapendeza sana tank ni ya ujazo gani ? Na lita 1 ni kilometers ngapi , mpaka Singida ikipakiwa Dar itagharimu shillingi ngapi
 
Zinapendeza sana tank ni ya ujazo gani ? Na lita 1 ni kilometers ngapi , mpaka Singida ikipakiwa Dar itagharimu shillingi ngapi
Full Tank lita 12. Lita moja kwa km 55. Dar mpaka singida ni Shs 60,000 tu kwa pikipiki moja.
 
Zina tofauti gani na huoniao?same shape same figure etc etc.
utofauti ni brand name mkuu. performance ya Remex ni nzuri barabarani. inatembea sehemu zote bila shida na hata ikiwa imebeba mzigo mkubwa haisumbui njiani. Huoniao siwajui vizuri mkuu.
 
Gari ya cc 2000 inaenda 12km, Je pikipiki ya 150cc inaenda km ngapi?

Soln .
-----
2000=12km
150=×
×=2000/150(12km)==160km.
 
Habari kwa wadau wa pikipiki za kichina,
Napenda kuwafahamisha tuna stock mpya ya pikipiki aina ya REMEX FIGHTER , Imetengenezwa kisasa zaidi, ina engine cc 150 ni imara, ina spidi, ina nguvu na inapiga kazi kwenye mazingira yote.
Bei ni rahisi kabisa kwa Million 1,750,000 tu. Unapata REMEX MPYA.
Tunakupa warranty ya matengenezo bure ya mwaka mzima. pamoja na usajili wa kadi tunakufanyia bure. Wadau wa mikoani tunawasafirishia pikipiki. (Gharama za usafiri utalipia)

Spea zinapatikana kwetu na kwa mawakala wetu wote wanaouza spea za kichina Tanzania nzima.
Fika ofisini kwetu, MSASANI, kituo cha Macho, utaona Duka la pikipiki limeandikwa Quality Motors ltd.
Mawasiliano
Afsa Mauzo
SIMU- 0717518359. WHATSAPP- 0689866100.
KARIBUNI WADAU.

View attachment 347831 View attachment 347834 View attachment 347835
Kuna 125CC?
Hiyo bei ni pamoja na VAT?
 
na hapo boxer hamuuzi na kama mnauza ni bei gan na kama hamuuzi ni kwann
 
na hapo boxer hamuuzi na kama mnauza ni bei gan na kama hamuuzi ni kwann
kaka unauliza cocacola kwenye kampuni ya pepsi??? Hatuuzi Boxer. Kampuni wanaouza pikipiki za boxer ni Fair deal ltd. watafute wao ofisi zao ziko Tazara. Asante
 
Kuna 125CC?
Hiyo bei ni pamoja na VAT?
Tuna 150 cc tu kwa pikipiki za kichina Remex. kwa 125 cc tunazo kwenye pikipiki za Honda, ila bei ziko juu kama unahitaji nitafute kwenye simu.
 
vipi kuhusu silence yake ukilinganisha na boxer. na spare zake zinaingiliana na pikipiki gani zingine? kwa mfano :
TAIRI
TAA
DASBOARD
 
vipi kuhusu silence yake ukilinganisha na boxer. na spare zake zinaingiliana na pikipiki gani zingine? kwa mfano :
TAIRI
TAA
DASBOARD
Silence yake ni ya kawaida kabisa sio kama za piki piki zingine za kichina ambazo zina mngurumu mkubwa. kama ukiweza kuja ofisini njoo uitesti mwenyewe uione silence yake iko vipi. Spare zake ndio zinaingiliana. kama unavyojua pikipiki za kichina zina tabia ya kuingiliana kwa spea. Na hii ndio sababu wadau wengi hupenda kununua pikipiki za kichina. kwa Taa, Tairi na Dashboard zote ziko sawa na zinaingiliana na pikipiki zingine. Sasa na wewe unanitega na maswali unataka nitaje majina ya pikipiki zingine ili wadau waje hapa kunishambulia. sheria za marketing haturuhusu kutaja majina ya competitors wengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom