Nimekuuliza kwani MO anatumia tecno???Ww hujui kwamba maskini ndio huwa wanahangaika kuishi maisha ya kuigiza.
Ww unafikir matajir wanahangaika kununua vitu vya gharama kwa ajili ya kuwaringishia watu.
Kwa nn umeikariri sana tecno ndio simu unayotumia amaNimekuuliza kwani MO anatumia tecno???
Chagua wewe basi, au nokia torchKwa nn umeikariri sana tecno ndio simu unayotumia ama
Anatumia simu standard tu just like SamsungChagua wewe basi, au nokia torch
Anatumia simu standard tu just like Samsung
Sasa we unafikir mo ana akili Kama zenu kununua simu ya mil 5 halaf hata kibanda Cha kulala huna[emoji16][emoji16][emoji16]Uliishawahi kukutana na MO???
Halafu simu standard ya samsung ni ipi???j1
Kwanini wewe simu kali hununui halafu unaishia kumiliki kibanda[emoji16][emoji16][emoji16], huoni unapuyanga mkuu??Sasa we unafikir mo ana akili Kama zenu kununua simu ya mil 5 halaf hata kibanda Cha kulala huna
Mimi najenga nyumba mkuu kwa sababu ni asset simu niko nayo standard ambayo inaniwezesha kutumia matumizi yangu yote muhimu ya applications mbalimbali pamoja na typing ya fomu na barua mbalimbali.Kwanini wewe simu kali hununui halafu unaishia kumiliki kibanda[emoji16][emoji16][emoji16], huoni unapuyanga mkuu??
Unaijua simu yake? Vifaa vya ulinzi alivojiwekea mwilini? Gari anazotumia? Stay cool kama huna pesa mzeeHuyo mwenye hyo simu ni limbukeni si ajabu hata kutumia smartphone vzr hajui anapiga na kupokea simu tu eti kisa aonekane matawi.
Ingekuwa pesa inachezewa hvyo Basi mo dewji angetumia simu ya mil 50.
Zinatumia upepo.Showcups????
[emoji847][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Mahitaji yanatofautiana,wakati wewe unahitaji kula ugali mrenda mwingine anataka nyama choma.ukiongeza 1M unalamba starlet ya halinzuri
Mahitaji yanatofautiana,wakati wewe unahitaji kula ugali mrenda mwingine anataka nyama choma.
Maisha hayana formula[emoji850]
Mimi najenga nyumba mkuu kwa sababu ni asset simu niko nayo standard ambayo inaniwezesha kutumia matumizi yangu yote muhimu ya applications mbalimbali pamoja na typing ya fomu na barua mbalimbali.
Hyo simu ya mil 5 kibaka akiikwapua imekula kwako.
[emoji106]Ukiwa na njaa ndio unawaza haya, pkpk mil 3 unapiga yoweee, wenzako wana range rover vellar inauzwa dollar 200,000 ushuru mil 200 na wala haiingizi hata 10 na hawapigi kelele. Tujitahidi kutafta na tulidhike na tulivyonavyo tusijitutumue
Mimi wala sipati tabu na wewe kwa sababu nilishapita level zote hizo.Ukiwa na njaa ndio unawaza haya, pkpk mil 3 unapiga yoweee, wenzako wana range rover vellar inauzwa dollar 200,000 ushuru mil 200 na wala haiingizi hata 10 na hawapigi kelele. Tujitahidi kutafta na tulidhike na tulivyonavyo tusijitutumue
Mimi wala sipati tabu na wewe kwa sababu nilishapita level zote hizo.
Wewe unaonekana upo level fulani hivi Kama za vijana wanyoa viduku ambao huwa wanaishi maisha ya kuigiza hali ya kuwa ni kapuku tu.
Mimi naishi maisha halisi kadri ya uwezo wangu,hakuna mtu namuigizia au kumuogopa na wala huwa sitaki kiki.
Nyinyi ndio huwa mnaishi kwa kiki ili mbahatishe kupata mademu.
Siwazagi demu mm na huwa sipotez muda kufanya kiki zenu hizo kwa ajili ya demu.Kumbe bado unawaza mademu, pole sana sio wakati wa kukushauri malizana kwanza na mademu.