Pikipiki inauzwa

Pikipiki inauzwa

Technologiest

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2017
Posts
3,728
Reaction score
4,058
PIKIPIKI HONDA 250 INAUZWA.
Made:Japan
Cooling system (rejeta)
Speed 180
Sports rims
Showcup za upepo
Brake: disc both side
V-twin engine (two in one)
Full documents,in good condition.
Contact:0673190072
Location😀ar es salaam
Bei 3m

MAONGEZI YAPO.
1904127474.jpeg
 

Attachments

  • 357431552.jpeg
    357431552.jpeg
    50.2 KB · Views: 62
Hahahaha,umewaza Kama mm yaani.
Kuna haja gani kulinunua dubwasha kwa milioni 3 ambalo haliingizi hela.
Mawazo ya kimasikini kabisa haya.

Wewe ndoto yako ni kununua boda boda uwe unakula route za buku buku, bila hata kuvaa helmet.

Kww taarifa yako kuna mtu ana simu ya mkononi, hizo king lion zako mbili na nusu.
 
Mawazo ya kimasikini kabisa haya.

Wewe ndoto yako ni kununua boda boda uwe unakula route za buku buku, bila hata kuvaa helmet.

Kww taarifa yako kuna mtu ana simu ya mkononi, hizo king lion zako mbili na nusu.
Huyo mwenye hyo simu ni limbukeni si ajabu hata kutumia smartphone vzr hajui anapiga na kupokea simu tu eti kisa aonekane matawi.
Ingekuwa pesa inachezewa hvyo Basi mo dewji angetumia simu ya mil 50.
 
Huyo mwenye hyo simu ni limbukeni si ajabu hata kutumia smartphone vzr hajui anapiga na kupokea simu tu eti kisa aonekane matawi.
Ingekuwa pesa inachezewa hvyo Basi mo dewji angetumia simu ya mil 50.
Kwani wewe unadhani MO anatumia TECNO??

Hakuna ulimbukeni katika matumizi, ulimbukeni uko katika umasikini peke yake.
 
Kwani wewe unadhani MO anatumia TECNO??

Hakuna ulimbukeni katika matumizi, ulimbukeni uko katika umasikini peke yake.
Ww hujui kwamba maskini ndio huwa wanahangaika kuishi maisha ya kuigiza.
Ww unafikir matajir wanahangaika kununua vitu vya gharama kwa ajili ya kuwaringishia watu.
 
Back
Top Bottom