Pikipiki aina ya Boxer, for only 1million.

Pikipiki aina ya Boxer, for only 1million.

Unasari kwa Gwajima mkuu?.amesema anatafuta Pikipiki ya kitonga tunampa ushauri unasema boxer Dukani milioni 2 bei anajua mkuu
Hilo neno la kwanza Kabisa sijaelewa Ni kikwenu ama kiswahili . ?
 
Natafuta Pikipiki aina Ya Boxer Kwa Tsh 1million.

Vigezo.

1.Pikipiki isiwe ya Uwizi ama dalili zozote za kupatikana kitapeli.
Kumbuka Shahidi wakati wa Manunuzi kwa Upande wangu atakua Askari pamoja na Mwanasheria wangu, na kwa upande wako nitahitaji awe Mjumbe wako wa mtaa.

2.Isiwe Imechoka Body wala Engine wala Kupungukiwa kifaa chochote.
Kumbuka manunuzi yatafanyika Fundi wa Pikipiki akiwepo kwa ajali ya Ukaguzi.

Sina Haraka nayo So kama ww ni dalali ama vingenevyo na Umeliona tangazo hili Basi nisaidie Kuipata Pikipiki hiyo, nipo tayari mda Wowote Kuilipia pale tu itakapopatikana na kutimiza vigezo vyangu.
Kwa Kifupi tu nimeshapata Moja , kwa Bei Hiyo nzuri na Imeingia Tayari kwnye Makusudio ya kazi , najitaji Mbili zaidi.

Nipo Dar es salaam.


Natarajia kusikia kutoka kwenu.

Ahsanteni
Umeshapata pikipiki mimi ninayo naiuza.

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
 
Bongo nuksi! Masharti kibao, pesa mbuzi.

Sent from my SM-G360H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom