Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,054
- 3,263
Natafuta Pikipiki aina Ya Boxer Kwa Tsh 1million.
Vigezo.
1.Pikipiki isiwe ya Uwizi ama dalili zozote za kupatikana kitapeli.
Kumbuka Shahidi wakati wa Manunuzi kwa Upande wangu atakua Askari pamoja na Mwanasheria wangu, na kwa upande wako nitahitaji awe Mjumbe wako wa mtaa.
2.Isiwe Imechoka Body wala Engine wala Kupungukiwa kifaa chochote.
Kumbuka manunuzi yatafanyika Fundi wa Pikipiki akiwepo kwa ajali ya Ukaguzi.
Sina Haraka nayo So kama ww ni dalali ama vingenevyo na Umeliona tangazo hili Basi nisaidie Kuipata Pikipiki hiyo, nipo tayari mda Wowote Kuilipia pale tu itakapopatikana na kutimiza vigezo vyangu.
Kwa Kifupi tu nimeshapata Moja , kwa Bei Hiyo nzuri na Imeingia Tayari kwnye Makusudio ya kazi , najitaji Mbili zaidi.
Nipo Dar es salaam.
Natarajia kusikia kutoka kwenu.
Ahsanteni
Vigezo.
1.Pikipiki isiwe ya Uwizi ama dalili zozote za kupatikana kitapeli.
Kumbuka Shahidi wakati wa Manunuzi kwa Upande wangu atakua Askari pamoja na Mwanasheria wangu, na kwa upande wako nitahitaji awe Mjumbe wako wa mtaa.
2.Isiwe Imechoka Body wala Engine wala Kupungukiwa kifaa chochote.
Kumbuka manunuzi yatafanyika Fundi wa Pikipiki akiwepo kwa ajali ya Ukaguzi.
Sina Haraka nayo So kama ww ni dalali ama vingenevyo na Umeliona tangazo hili Basi nisaidie Kuipata Pikipiki hiyo, nipo tayari mda Wowote Kuilipia pale tu itakapopatikana na kutimiza vigezo vyangu.
Kwa Kifupi tu nimeshapata Moja , kwa Bei Hiyo nzuri na Imeingia Tayari kwnye Makusudio ya kazi , najitaji Mbili zaidi.
Nipo Dar es salaam.
Natarajia kusikia kutoka kwenu.
Ahsanteni