Pigo: Wafanyakazi karibu 200 wa Vodacom walio chini ya ISON BPO wafukuzwa kazi kwa madai ya wizi

Sijui kwanini Wahindi wanakuja kutunyanyasa nchini mwetu?

Serikali hasikii haya yote.
kwa sababu serikali yako haijaweka mfumo mzuri wa sheria unasimamia maslahi ya mwajiriwa na mwajiri kwa usahihi. yaani hakuna sheria ambayo inatoa uhakiki wa haki za mwajiriwa na mwajiri kwa hiyo hapo mwenye kisu kikali ndio ana mlalia mwenzake. kwa bahati mbaya hapa tanzania mwajiri mara nyingi ndio huwa anakuwaga mwenye kisu kikali. mdio maana leo hii hata wewe unaweza ukaanzisha kampuni yako halafu vibarua ukaamua hata uwalipe shilingi elfu moja kwa kutwa na hakuna wa kukupigia kelele ilimradi mlikubaliana toka awali.

serilkali yako iko kwenye busy na kujenga viwanda vya kufikirika wala haina muda na ku review mambo muhimu kama haya ya ukiukwaji wa haki kwenye sekta ya ajira.
 
kwa sababu serikali yako haijaweka mfumo mzuri wa sheria unasimamia maslahi ya mwajiriwa na mwajiri kwa usahihi. yaani hakuna sheria ambayo inatoa uhakiki wa haki za mwajiriwa na mwajiri kwa hiyo hapo mwenye kisu kikali ndio ana mlalia mwenzake. kwa bahati mbaya hapa tanzania mwajiri mara nyingi ndio huwa anakuwaga mwenye kisu kikali. mdio maana leo hii hata wewe unaweza ukaanzisha kampuni yako halafu vibarua ukaamua hata uwalipe shilingi elfu moja kwa kutwa na hakuna wa kukupigia kelele ilimradi mlikubaliana toka awali.

serilkali yako iko kwenye busy na kujenga viwanda vya kufikirika wala haina muda na ku review mambo muhimu kama haya ya ukiukwaji wa haki kwenye sekta ya ajira.
Sasa hapa ndo umenena.

Miaka 14 iliyopita, ndipo serikali ilitoa sheria ya Wafanyakazi wa telecommunications walipwe minimum salary ya 400,000..sasa hadi leo since 2004 hakuna amendment, hivi life la kipindi kile, gharama yake ni sawa na ya sasa?
 
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza.

Pia tuache uhaini wa kufurahia majanga ya wale vijana
yawezekana kweli sijui kiundani sula hili la nyie kufukuzwa, ila kwa maelezo yaliyopo + tabia za wabongo wakipata ajira kwenye ofisi za watu. kuna nifanye nijione sijakosea kabisa kuandika comment hiyo, pia majanga yakimkuta anaestahili kupata majanga haina haja ya kusikitika.
 
Sasa hapa ndo umenena.

Miaka 14 iliyopita, ndipo serikali ilitoa sheria ya Wafanyakazi wa telecommunications walipwe minimum salary ya 400,000..sasa hadi leo since 2004 hakuna amendment, hivi life la kipindi kile, gharama yake ni sawa na ya sasa?
ndio maana nikasema hii serikali imelala kwenye mambo mengi muhimu kama hilo la kulinda maslahi ya waajiriwa kwa misingi ya kisheria kiasi cha kutoa mwanya wa unyonyaji na ukandamizaji kwa waajiri wengi.

kuna sheria lazima ziwe zinafanyiwa amendment kila baada ya muda mfupi hili kwa ustawi wa jamii ikiwemo hiyo ya kazi, nakumbuka miaka fulani ya nyuma wabeba box wa jiji la washington walikuwa wanalipwa $6 kwa saa, mwaka jana niliskia sasa hivi wanalipwa $15 kwa saa na hiyo ni kwa mujibu wa sheria za kazi za jiji la washington. sasa bongo mambo kama haya tutabaki kuyaskia redioni na ndio maana hata watu wanakuwa wezi.
 
yawezekana kweli sijui kiundani sula hili la nyie kufukuzwa, ila kwa maelezo yaliyopo + tabia za wabongo wakipata ajira kwenye ofisi za watu. kuna nifanye nijione sijakosea kabisa kuandika comment hiyo, pia majanga yakimkuta anaestahili kupata majanga haina haja ya kusikitika.
Sasa mbona una generize na kunihusisha na kundi la watu nisio husika? Una uhakika gani kama hilo janga limemkuta aliyestahili?
 
ndio maana nikasema hii serikali imelala kwenye mambo mengi muhimu kama hilo la kulinda maslahi ya waajiriwa kwa misingi ya kisheria kiasi cha kutoa mwanya wa unyonyaji na ukandamizaji kwa waajiri wengi.

kuna sheria lazima ziwe zinafanyiwa amendment kila baada ya muda mfupi hili kwa ustawi wa jamii ikiwemo hiyo ya kazi, nakumbuka miaka fulani ya nyuma wabeba box wa jiji la washington walikuwa wanalipwa $6 kwa saa, mwaka jana niliskia sasa hivi wanalipwa $15 kwa saa na hiyo ni kwa mujibu wa sheria za kazi za jiji la washington. sasa bongo mambo kama haya tutabaki kuyaskia redioni na ndio maana hata watu wanakuwa wezi.
Ni kweli kabisa mkuu. Ujue laki nne ukipata sasa hivi, inakatwa kodi + pension... Unabaki na 340 huko. Hii kwa mtu mwenye family itamuwia ngumu sana
 
Hivi ina maana sisi tumeshidwa kuwa na kampuni tukapata tenda ya customer care vodacom mpka wahindi ndo wachukue hiyo kazi????
 
malalamiko ya vodacom na customercare ni ya miaka mingi toka enzi za erolink na sasa ison nafikiri kuna tatizo lazma waziri mwenye dhamana anatakuwa aingilie kati kujua nn chanzo
 
Sasa mbona una generize na kunihusisha na kundi la watu nisio husika? Una uhakika gani kama hilo janga limemkuta aliyestahili?
acha kujibaraguza hapa, kwa maana hiyo unataka kusema hao waliofukuzwa hawana hatia yoyote kabisa, hivi hii habari yako wakati unaileta humu ulitegemea kuwa wote tutakuunga mkono kwa kuonyesha huruma hata kwa kosa ambalo linaonekana wazi? usiniulize kosa gani na wakati linaonekana kabisa ni kukosa ethics za kazi.
 
acha kujibaraguza hapa, kwa maana hiyo unataka kusema hao waliofukuzwa hawana hatia yoyote kabisa, hivi hii habari yako wakati unaileta humu ulitegemea kuwa wote tutakuunga mkono kwa kuonyesha huruma hata kwa kosa ambalo linaonekana wazi? usiniulize kosa gani na wakati linaonekana kabisa ni kukosa ethics za kazi.
Nenda kawaulize hao Ison wakupe uhakika
 
Ikumbukwe kuwa hiki kitengo cha Customer Care cha Vodacom kinasimamiwa na kampuni ya ISON BPO inayomilikiwa na wahindi.

Hii kampuni hulipwa kiasi kikubwa cha pesa na Vodacom (kama laki 8 kwa makadirio) kwa kila kichwa cha mfanyakazi wa call centre. Cha ajabu kampuni hii humlipa kila call centre ajent kiasi cha kama tsh 330,000 kwa mwezi.

Sasa inasemekana hii kampuni ya ISON ipo katika mkakati wa kuondoa waajiriwa wa full time na kuajiri wasio na full contract. Ambao tayari washaanza kuwaajiri na malipo yao ni arround 200,000 kwa mwezi.

Kwahiyo hii kampuni tayari imeanza kuwafukuza wafanyakazi wenye full time contract. Mbaya zaidi wafanyakazi hawa wanafukuzwa kwa kulazimishiwa au kubambikiwa makosa. Mfano, wanaweka target za performance za juu ambazo ni ngumu mtu kufikia na hizi zinawaexclude wale wenye part time contract. Ukishindwa kufikia target unaondoshwa bila kulipwa sitahiki zako.

Sasa wamekuja kuvunja rekodi mwezi May baada ya kuanza fukuza fukuza ya waajiriwa kwa kuwabambika kosa la fraud. Hii ilitokea baada ya IT wa vodacom kuacha wazi (full access) kwa kila mtu kuweza kuunga vifurushi vya bure (prepaid offer) kama ilivyoandikwa kwenye ile system. Baada ya kugundua kuwa watumishi hujiunga vifurushi vile vilivyoelezwa kuwa ni vya bure wakaaanza kuwaondosha bila kuwalipa sitahiki zao.

Ikumbukwe kuwa vile ni vya bure kuanzia kwenye system jina lilioandikwa mpaka kwenye msg inayokuja baada ya kujiunga. Hii ilipelekea Vodacom kusamehe maana lilikuwa kosa la IT wao kuviacha wazi bila restriction yoyote. As per procedures lile lilikuwa ni kosa la kupewa warning au kuelezwa kuwa kile kitu hakiruhusiwi.

Mpaka sasa zaidi ya wafanyakazi 100 wameondoshwa tayari huku fukuza fukuza ikiendelea mpaka sasa napoandika.

Wafanyakazi hawa wamejaribu kuappeal kupinga maamuzi ya hii kampuni lakini hizo barua za appeal zimepokelewa na kampuni imekataa kuleta mrejesho.

Source: Wafanyakazi kadhaa wa ISON BPO.

My take: Hizi kampuni za kihindi ambazo zinajiita recruitment agents au outsource ni majanga kwa watoto wa watanzania wanaotafuta ajira.
Kama inawezekana wanipe kazi niwapeleke labor court fasta
 
Wewe mtoa post unaonekana upo kundini maana unajua a-z ambapo siyo rahisi kiivyo. Any way hiyo migogolo ipo kila outsourced company. Poleni
 
Back
Top Bottom