Barozi wa EU hapa nchini Manfred Fanti amesema umoja wa ulaya unalidhishwa na kazi kubwa na nzuri amabayo serkali ya awamu ya tano ya rais magufuli inatekeleza kwa kuwaletetea maendeleo watanzani na kuruhusu umoja huo kuruhusu billion 132 zilizokuwa zimezuiwa kufika nchini haraka
Mr Fanti ambaye alimtembelea mh .rais ikulu Leo amesema kuwa EU inaipongeza serkali ya Tanzania kwa kuwajali wananchi na kuwaletea maendeleo
My take
Acheni kusikiliza kelele za wapinzani ,dunia nzima inajua kuwa tupo katika njia sahihi
View attachment 1347641
Sent using
Jamii Forums mobile app