USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,884
- 22,601
Barozi wa EU hapa nchini Manfred Fanti amesema umoja wa ulaya unalidhishwa na kazi kubwa na nzuri amabayo serkali ya awamu ya tano ya rais magufuli inatekeleza kwa kuwaletetea maendeleo watanzani na kuruhusu umoja huo kuruhusu billion 132 zilizokuwa zimezuiwa kufika nchini haraka
Mr Fanti ambaye alimtembelea mh .rais ikulu Leo amesema kuwa EU inaipongeza serkali ya Tanzania kwa kuwajali wananchi na kuwaletea maendeleo
Mbali na kurusuhu mapesa hayo pia wametangaza mpango mpya wa miaka saba wa kuisaidia bajeti ya Tanzania unaoanza na bajeti ya 2020/2021
My take
Acheni kusikiliza kelele za wapinzani ,dunia nzima inajua kuwa tupo katika njia sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mr Fanti ambaye alimtembelea mh .rais ikulu Leo amesema kuwa EU inaipongeza serkali ya Tanzania kwa kuwajali wananchi na kuwaletea maendeleo
Mbali na kurusuhu mapesa hayo pia wametangaza mpango mpya wa miaka saba wa kuisaidia bajeti ya Tanzania unaoanza na bajeti ya 2020/2021
My take
Acheni kusikiliza kelele za wapinzani ,dunia nzima inajua kuwa tupo katika njia sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app