Tubu wewe unaekaa kuandaa bajeti ya maendeleo kisha unapopewa unashirikiana na mkurugenzi kuwalipa madiwani wako hela zote,Ametubu
mwisho wa siku unachangisha wananchi fedha za ujenzi wa shule.Hakuna madawati ,vitabu,maabara lakini zipo fedha za kulipa posho lukuki kwa watendaji,wenyeviti,na madiwani@ kikao huku ukiweka kasma ya maendeleo na matumizi ya kawaida smbazo fedha zote hizo zimeishia mikononi mwenu
Wewe tuambie hapa dawati moja tsh 80,000/=,lakini wewe unajilipa posho ya tsh200,000/=, ni lini watoto kama wa itigi utawapatia madawati?
Sasa hivi mmekomba ml2000 ili mkanunue viongozi chadema ,ngoja wazichukue harafu mtaelewa tu 2015