Baki njia kuu michepuko haifai.Katibu wa BAVICHA Iringa Mjini na ambaye pia ni mwenyekiti CHADEMA tawi la chuo kikuu Eckernforde,Bwana Lunyungu F, aachana na mchepuko CHADEMA na kurudi njia kuu CCM.
https://m.facebook.com/groups/15119...t=pcb.645616402175783&source=48&refid=18&_ft_
Tatizo vijana wengi wanafanya siasa ndo ujasirimali.
Ccm ni dawa maumivu makali ya jinoHapo unajanishawishi kwa kusema hakuna mtu mwenye akili atajiunga Ccm akawa na akili timamu. Hivi unafuatilia mikutano yake inayoendelea nchini? Huo umati hauna akili! Ni kwa nini kila mwaka wananchi eanakiamini na kueaparidhaa.
Hakuna cha pingo kwachadema hp kahongowa na amemua kujiunga na chama cha mafisad boro kasepa mwenyewe
Ccm inajitahidi kununua watu ,zile ml200 ,zinazunguka,watanzania ukipewa chukueni ,kisha 2015 wafundisheni nini maana ya maendeleo.kwa kushindwa kuleta maendeleo mnadhani mtanunua nchi nzima,ndio maana mishahara duni,malipo ya madai ya walimu hakuna,hospitali dawa hakuna,maaskari maisha duni,barabara hovyo,bandari mtwara na Tanga hazijengwi kwa sababu ya kutafuta viongozi wa chadema wahame?Hatuna vyama vya upinzani wa kweli tanzania ni sanaa sanaa tu za waganga njaa.