Pictures from Obama's First State Dinner...and more!

Jk je lini ataandaa?


Kwani siku hizi hakuna zile zilikuwa zamani zinaitwa zifa ( sp) za kitaifa?

Nimegundua siku hizi watu wakiona kitu kimetokea ulaya wanadhani kwetu huwa hakitokei. Huwa kuna mapokezi rasmi ya wageni wa kitaifa, na kuna wapishi wengi wazuri hapo Tanzania ambao huwa wanaandaa vyakula. Wanjeshi wetu huwa wanapiga nyimbo za taifa za wageni wa kimataifa wanaokuja hapo Dar. Nadhani hivi vitu vinafanyika.

Tena kwa standard nzuri tu.
 
I am just curios when kikwete is invited!
May be kanga?


Hawezi kuvaa kanga. Kwanza mimi namuona Raisi kuwa ni mtu mwenye style nzuri na upeo wa kimataifa. Pili kama hana huo uwezo wa kuchagua style, kuna watu ambao kazi yao ni kumshauri protocol na nini kinatakiwa wapi, jinsi ya kutukia vijiko na visu mezani nk.

Tunaweza kubishana kuhusu uwezo wake wa kufanya kazi kama Raisi wa JMT. Tuwe waangalifu tunapo msemna kuhusu vitu binafsi ( vya nguoni?) tunajirudisha nyuma kwa kukashifu vitu binafsi; tunaathiri haki yetu ya kupinga maamuzi anayoyatoa kwa niaba ya taifa letu.
 
Mimi nimependa suti ya Manmohan. Walioko India nitafutieni moja saizi 40.
 
slide_3804_53756_large.jpg

Mama kanifurahisha kweli hapo. Hamna cha uma wala nini. Ngoma imegwe tu kiafrika!
 
Hapa secret service walichemsha, Brian Williams wa NBC anasema aliwastukia lakini hao SS hawakuinyaka!.
 
UN Ambassador Susan Rice with Ian Cameron

Ab-T
Huyu ndiyo mume wa Susan, au ni jamaa wa kumpa maraha huyu mlimbwende
 
slide_3822_54003_large.jpg

Brian Mosteller, deputy director of Oval Office operations, looks through a peephole in the Oval Office door to monitor the progress of the bilateral meeting between President Barack Obama and Prime Minister Manmohan Singh of India. Also pictured, from left, are Personal Secretary Katie Johnson, Chief of Protocol Capricia Marshall, Huma Abedin, advisor to Secretary of State Hillary Clinton, and U.S. Ambassador to India Timothy Roemer, Nov. 24, 2009​
 
slide_3822_54004_large.jpg


President Barack Obama escorts Prime Minister Manmohan Singh of India along the White House Colonnade to their meeting in the Oval Office, Nov. 24, 2009.




slide_3822_54005_large.jpg



slide_3822_54007_large.jpg


President Barack Obama and Chief of Protocol Capricia Marshall wave goodbye as Prime Minister Manmohan Singh of India departs the North Portico of the White House, Nov. 24, 2009​
 
Back
Top Bottom