Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Hawa watu wameniuzi kweli kweli hata sina la kusema. Endeleeni kulia tu...pambaff!!!
waafrika ndio tulivyo, ukiangalia mechi ya ivory coast na ureno, ile mechi ilikuwa ni ya kushinda, cameroon vs japan ilikuwa ya kushinda, nigeria vs greece, ilikuwa ya kushinda, ghana vs dhidi ya watu kumi denmark/australia hadithi ni hiyo hiyo, sasa sijui tutokea wapi, ingwa ghana bado wana nafasi lakini kucheaza na argentina ni kujitafutia balaa, ambalo wangeliepuka kwa kushinda mechi ya jana.Mimi kwa kweli nikiikumba ile list ya kina Makanaky, emanuel kunde, Roger Milla na wengineo nalia na kushika kichwa kama huyo jamaa hapo juu