Picture:Ever wondered why Terrorists never kidnapp Russians??

Picture:Ever wondered why Terrorists never kidnapp Russians??

Invisble275

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2014
Posts
982
Reaction score
1,166
Get informed the reason why Terrorists never kidnapp Russians.
 

Attachments

  • Russia.png
    Russia.png
    152 KB · Views: 1,665
all in all jihadist are bunch of cowards

nimekuja kwako nimepiga mke wako ukiwepo


wew unavizia nikiondoka kwangu upige watoto

kwann usi ni confront head on


these bunch of coward have no place in heaven nor on earth
 
all in all jihadist are bunch of cowards

nimekuja kwako nimepiga mke wako ukiwepo


wew unavizia nikiondoka kwangu upige watoto

kwann usi ni confront head on


these bunch of coward have no place in heaven nor on earth

Yaani mkuu hilo ndo swali??? Wanawaogopa hao Kdf wanakimbilia kuua watoto wa skuli. What a shame. Kama kweli wao ni askari wa kuikomboa Somali, wapambane na hao Kdf.
 
Yaani mkuu hilo ndo swali??? Wanawaogopa hao Kdf wanakimbilia kuua watoto wa skuli. What a shame. Kama kweli wao ni askari wa kuikomboa Somali, wapambane na hao Kdf.

Afu inatoa tamko page mbili inajiita midume

Aaggh

Alshabaab if they are men enough watangaze full war tujue once and for all kma Nyerere alivyo tangaza vita na nduli idd amin

Sio kuvizia vizia
 
Hahahh hii inaitwa droo droo
Kuna siku watoto wa shule walitekwa na magaidi wa Chechnya waliotumwa na Basayev kule Russia. Vikosi vya Russia vikavamia na watu zaidi 380 wakauawa wakiwemo watekaji. Hii ilikuwa katika mji wa Beslan nadhani mwezi September 2004.

katika mambo kama haya, Russia huwa hawaongei bali wanatumia nguvu kumalizana na hao magaidi.
 
Hili jukwaa limekuwa la kijinga sana siku hizi..watu wanazunguka zinguka huko na kuokota post za kijinga na kuzileta hapa..ikiisha hiyo wanavizia zito kapost nini facebook na kuja kumjadili hapa..ujinga ujinga tu
 
Get informed the reason why Terrorists never kidnapp Russians.

wale waasi wa chechnya (muslims) waliwafanya nini wa russian?
Au unafikiri tumesahau?
Wakadundwa na Russia hawawezi kurudia tena.
Russia haibembelezi gaidi kama USA remember.
 
Hili jukwaa limekuwa la kijinga sana siku hizi..watu wanazunguka zinguka huko na kuokota post za kijinga na kuzileta hapa..ikiisha hiyo wanavizia zito kapost nini facebook na kuja kumjadili hapa..ujinga ujinga tu
Punguza panic mazee acha watu wajadili wanavyovifahamu usiwapangie,hiyo ndiyo maana halisi ya freedom of speech.
 
Russia hawana desturi ya kuvamia ovyo nchi za watu kwenye mabara mengine kama ifanyavyo Marekani na washiriki wake!
 
Get informed the reason why Terrorists never kidnapp Russians.
Mkuu Invisble275 usitumie neno never mahali ambapo huna uhakika kuna matukio kadha ya Warusi kutekwa na magaidi mfano shule moja ilitekwa,ndege yao ya abiria ilitekwa,jijini Moscow ukumbi wa snema ulitekwa name magaidi wakiwemo magaidi was like.
 
Hili jukwaa limekuwa la kijinga sana siku hizi..watu wanazunguka zinguka huko na kuokota post za kijinga na kuzileta hapa..ikiisha hiyo wanavizia zito kapost nini facebook na kuja kumjadili hapa..ujinga ujinga tu

Haya basi uwe unatuletea mitihani ya kembriji kila siku kwenye posts zote za jf ili nasi tusiwe wajinga kama wewe....lafa kabisa wewe.
 
Haya basi uwe unatuletea mitihani ya kembriji kila siku kwenye posts zote za jf ili nasi tusiwe wajinga kama wewe....lafa kabisa wewe.
Hahahahaahahaha. Asante kunichekesha usiku.
 
Hili jukwaa limekuwa la kijinga sana siku hizi..watu wanazunguka zinguka huko na kuokota post za kijinga na kuzileta hapa..ikiisha hiyo wanavizia zito kapost nini facebook na kuja kumjadili hapa..ujinga ujinga tu

Kweli mkuu kuna jamaa wawili washambawashamba wao kila siku wao ni mahakama ya kadhi tuu,akili zao zimeishia hapo.
 
Punguza panic mazee acha watu wajadili wanavyovifahamu usiwapangie,hiyo ndiyo maana halisi ya freedom of speech.

freedom of speech unaitumia kujadili vitu vya maana sio vitu vya kijinga jinga hasa kwenye forum ka hii
 
Back
Top Bottom