So what do you want us to do?
Amesema Anataka kuchekesha?Haichekeshi
Nipite kwa nini?Sio lazima uchangie kila kitu. Nyingine pita tu!
Nini wewe zoba wa lumumba. Mko jamvini kukera wengineHaichekeshi
Kumbe wewe ni ndege John na hii ni ID yako nyingine? Unaposti thread na kujijibu na ID zako zingine. Ondoa hii thread faster. MNAKERANi lichopost hapa kinahusiana vipi na Lumumba?! You are full of garbage...aren’t you?
Yes Ian. Mbrrrr mbrrrNi lichopost hapa kinahusiana vipi na Lumumba?! You are full of garbage...aren’t you?
My apologies, nilikuwa ninaendesha. Someone nika changanya post ambayo umeni quote na post ambayo umemjibu Ndege John.Kumbe wewe ni ndege John na hii ni ID yako nyingine? Unaposti thread na kujijibu na ID zako zingine. Ondoa hii thread faster. MNAKERA
Dah mkuu tumeshajua una Gari. Ama ulipomaanisha unaendesha ulikuwa unaharisha? Basi ni kati ya hizo mbiliMy apologies, nilikuwa ninaendesha. Someone nika changanya post ambayo umeni quote na post ambayo umemjibu Ndege John.
Mkuu lakini tupo kwenye jukwaa la picha. Zinawekwa picha watu au matukio mbali mbali duniani.
Kwa hiyo ulipoandika, “So what do you want us to do”. Ndio maana nikakujibu sio lazima kila kitu uchangie. Mtu akiweka picha ya Kanye West hapa kwako inaweza kuwa ni kosa.
Bwana mdogo kuwa mwangalifu unapojibishana na mimi. Sitaki kabisa kukulaani. Yani usinilazimishe nikutamkie neno baya iwe laana kwako.Mkuu utakuwa una matatizo na utoto na ubishi wa kitoto. Jipime!
Means.... Una uwezo wa kumpa Binadamu mwenzko laaana..... Mbna Mnatishiana ktoto toto humu, laaanaBwana mdogo kuwa mwangalifu unapojibishana na mimi. Sitaki kabisa kukulaani. Yani usinilazimishe nikutamkie neno baya iwe laana kwako.
Sauh'waaa!
Mzee wa kulia ofisini kwenye masofa...credit kwake mzee baba baharia sana..asiyechagua kiwanjaClinton mzee wa kuchakata huyo
Mzee wa kulia ofisini kwenye masofa...credit kwake mzee baba baharia sana..asiyechagua kiwanja
Jr