Ndugu wana jf
kwa yeyote mwenye gari hizo nilizo zitaja nahitaji moja iliyo kwenye hali nzuli mpa ac
na bei iwe ya kawaida kulinga na halihalisi.
Mwenye nayo ani pm ikiwezekana aweke picha.
Ipo Toyota Hilux ya mwaka 2003, Imebadilishwa Rubber Bush zote, Full Service, Gas ya A/c imeshajazwa, Gari ilikuwa inafanya kazi za nyumbani tu, Haijafanya kazi ya shamba. Bei 17million, Maelewano yapo, Gari ipo Ilala kama unataka kuiona. Kwa Mawasiano zaidi 0714 666766
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.