Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Mstahiki naona anataka kuisaidia Polisi...Mstahiki,unaanzaje kumnanga mheshimiwa Rais?Utachapwa!
Mstahiki naona anataka kuisaidia Polisi...Mstahiki,unaanzaje kumnanga mheshimiwa Rais?Utachapwa!
Mstahiki ana machokozi.Na mimi nimemwambia apige konzi ncha ya mkuki.Noma kama noma!😂😂😂😂Mamamamamamaae... Umejua kunichekesha msibani. Ngoja nikatoe lock wasijesema nimefurahi jamaa kadedi kwakuwa alikuwa ananidai..
Atasaidia huku anajifuta kamasi jepesi na jicho litakuwa jekundu kama amebugia kungu.😂😂😂😂Mstahiki naona anataka kuisaidia Polisi...
Ha haaa inaloa kirahisi hivyo? Loh hapana. Be romantic basi hata kidogoYani ndo maana nakosa hamasa ya mtongozo. Nilitegemea saa hizi naniliu iwe imeloa....
Watampelekeka kule kwa Sabaya akapate muongozoAtasaidia huku anajifuta kamasi jepesi na jicho litakuwa jekundu kama amebugia kungu.😂😂😂😂
I love you too sweetheart. Will you marry me?Ha haaa inaloa kirahisi hivyo? Loh hapana. Be romantic basi hata kidogo
AhsanteAfadhali makada wanaweza vumilia upuuzi in return ya nafasi, ata sijui vigezo vya teuzi.
Ila kuna wale ambao wanaelewa wanajuwa wazi wana mishahara ya kumudu maisha kwa miezi nane, miezi minne wanamtegemea fulani asaidie.
Upuuzi sasa wanaweza tafuta ugomvi na huyo sponsor ndani ya hiyo miezi nane, wakati ikifika hiyo minne ya mwisho lazima waende kulia kwa mtu yule yule waliemtukana (mbio za sakafuni) ndio hapo sielewi.
Mstahiki atapewa kesi ya unyang'anyi mixer ugaidi kulingana na PGO.Ataambiwa amelipua bomu Ukraine bila ruhusa.Watampelekeka kule kwa Sabaya akapate muongozo
🤣🤣🤣 mchaga wa kishumundu weweI love you too sweetheart. Will you marry me?
Ngoja nimuite bi Kinaja aje ashuhudie ulivyobadili dini na kutaka mitala.Kanzu oyeeee!😂😂😂😂I love you too sweetheart. Will you marry me?
Ndio maana nikasema hii sasa ishakuwa mada ya chit-chat.Mstahiki ana machokozi.Na mimi nimemwambia apige konzi ncha ya mkuki.Noma kamq noma!😂😂😂😂
Mstahiki,nini mbaya na weye?Watu wanaishi stendi za mabasi na wanalalia maboksi!Nini nyumba ya msajili wa NHC?Ndio maana nikasema hii sasa ishakuwa mada ya chit-chat.
Ila sikubali ata kama hii thread mmeipora, huyu dada alienikera privately, wakati nawaachia hii mada hapa ntamfyonza na kumuwaza walau ajin’gate huko halipo nipate amani.
😩😩😩👋👋👋👋
Umeanza ukabila tena? Mi mmoroco niko kwenye kombe la Dunia🤣🤣🤣 mchaga wa kishumundu wewe
Sasa ukiniharibia mishe yangu, wewe utafaidika na nini mtanzania mwenzangu?Ngoja nimuite bi Kinaja aje ashuhudie ulivyobadili dini na kutaka mitala.Kanzu oyeeee!😂😂😂😂
Kumbuka,kwenye tafakari ya neno jumamosi tuliambianaje kuhusu amri za Mungu na miondoko yake!😂😂😂😂Sasa ukiniharibia mishe yangu, wewe utafaidika na nini mtanzania mwenzangu?
Huyu mwanamke humjui mshenzi wa tabia.Mstahiki,nini mbaya na weye?Watu wanaishi stendi za mabasi na wanalalia maboksi!Nini nyumba ya msajili wa NHC?
Mstahiki kumbe kinyerere unakijua vizuri hivi? Sasa kwanini uliamua kututesa na kiMalkia wakati unajua wengine tumesoma shule za kata na hujatulipia ada kwa Ras Simba?Ndio maana nikasema hii sasa ishakuwa mada ya chit-chat.
Ila sikubali ata kama hii thread mmeipora, huyu dada alienikera privately, wakati nawaachia hii mada hapa ntamfyonza na kumuwaza walau ajin’gate huko halipo nipate amani.
😩😩😩👋👋👋👋
Mstahiki,usimuombee mwenzako dua mbayambaya.Unweza kupelekwa mahakamani kwa kesi ya kuota au kuwaza ndoto mbaya dhidi ya jirani kama Godbless Lema.Huyu mwanamke humjui mshenzi wa tabia.
Acha tu kwetu saa 10 ya usiku wacha nimuombe mabaya sasa hivi huyu mwendawazimu wakati kalala walau aote anakwambiza na Simba wanataka kumla, kataka kuvuka mto wenye mamba, japo jasho limtoke kidogo akiamka.
👋👋👋
Ndio uzuri wa uwepo wa shetani. Nikilifanisha hili, zigo love namwangushia shetaniKumbuka,kwenye tafakari ya neno jumamosi tuliambianaje kuhusu amri za Mungu na miondoko yake!😂😂😂😂
Ngoja niwaache nimerudi sio muda mrefu baada ya kusubiri basi la masaaMstahiki kumbe kinyerere unakijua vizuri hivi? Sasa kwanini uliamua kututesa na kiMalkia wakati unajua wengine tumesoma shule za kata na hujatulipia ada kwa Ras Simba?