Kitumbikwela
Senior Member
- Nov 5, 2016
- 140
- 99
Kwa kifupi tuache ngono holela jamani kama una mchumba au mke wako tulia nae, manake ninachokiona hapo hata ukitumia kinga still bado kuna possibility ya kupata hayo magonjwa.Na kwa kifupi ukitumia choo cha kukaa ambacho anakitumia huyo mgonjwa lazima ukupate hata yale maji maji yake akikuingia tu ni soo