28mkorinto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 416
- 204
Hiyo mbona ni pangusa iko stage mbaya sana hiyo
UliuguagaHuo ugonjwa nibalaaa wakuu
Huwezi kuelewa kwa haraka mpaka nngekuwa umepiga kashule kidogo ka meds all in all genital wart kwa mdada huyo picha ya chini na huyo mkaka unaweza kuwa syphills katika stage ya 1 kuelekea ya pili,maana stage ya 3 ya kaswede huwa ni kwenye neurone,kwa Dada matibabu ni kuziondoka through surgery au cream special poleni ngono zembe ni hatari
Hiyo Papuchi ilivyoharibika haitamaniki, hata Kama ndo unaambiwa ni Papuchi ya Malkia hiyo, inahitaji Dushe then utapewa 5% ya sehemu ya Utajiri wa UK, ntamwammbia Malkia, I'm sorry!!!
stage 7 itakuwa jenezaniSasa kama stage 3 tu ipo hivyo sijui stage 7 itakuwaje.
Kwa lugha yetu ni kaswende na viotea kwenye uke.No 1...syphilis stage 3....ya pil n genital wats
wewe kweli Ndumilakuwili. umewafika haaaapa
Ohoooo!!!Uko sahihi kabisa jembe.
Ohoooo!!!
Iv inakuaje mtu anasubir ugonjwa ufike stej hiyo??Huu ugonjwa unaitwa Genital Warts ugonjwa huu huambukizwa na Virus ambao uitwa Papinomavirus
P cell: pus cells in urine.
Wakuu nimepitia maabara kupima mkojo nipewa majibu hayo hapo hili litakuwa ni tatizo gani?
Mnaojidai mnapenda kuzama chumvini sasasasaa midomo ikiwa hv aiseeWakuu habari.
Kwanza niombe radhi kwa wote watakao jisikia vibaya kwa sababu ya picha hizi.
Nimekuta hii discussion sehemu lakini hakuna mwenye uelewa mzuri juu ya hii kitu.
Kwa mwenye ufahamu je huu ni ugonjwa gani? Unaambukizwaje? Na tiba yake ni ipi?
View attachment 472303
View attachment 472304
Mh ukipona sura ya sehemu husika itakuwaje itarejea kwenye hali yake mubashara kweli?hiyo k huo ugonjwa unaitwa genital wats ni matokeo ya fungus na uti sugu inatibika wahi hosp mapema..... pole