Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Michuzi anachanganya kitu kimoja kuwa waliohudhuria si wanachama wa CHADEMA tu.
Palikuwepo wengi wasio na vyama + wenye vyama vyao.
Palikuwepo wengi wasio na vyama + wenye vyama vyao.
Michuzi anachanganya kitu kimoja kuwa waliohudhuria si wanachama wa CHADEMA tu.
Palikuwepo wengi wasio na vyama + wenye vyama vyao.
Michuzi anachanganya kitu kimoja kuwa waliohudhuria si wanachama wa CHADEMA tu.
Palikuwepo wengi wasio na vyama + wenye vyama vyao.
Hivi kwa nini CHADEMA wanavaa hayo magwanda? Na yanauzwa wapi kama mtu anataka kuyanunua?
Mzee kuna duka pale kariakoo linaitwa essentials, wanashona hiyo makitu kwa ustadi mkubwa
Kazi ipo, Mungu awe nasi!! Dalili ni nzuri.
Shida ni kujua na kuwa na uhakika kama hili kongo, wote wamejiandikisha?
Maana kuna waTZ wenzangu ambao bado ni wajinga linapokuja suala la kura. Maana na thamani yake hawaijui kabsa!!!
Motot ule ule. Go Sla...
Hivi kwa nini CHADEMA wanavaa hayo magwanda? Na yanauzwa wapi kama mtu anataka kuyanunua?
kati ya sababu zinazosababisha vurugu na opotevu wa amani ndani ya nchi ni pamoja na kuhusika kwa watangazaji wa redio au tv ya taifa kwa upendeleo kipindi cha uchaguzi ukizingatia kuwa uchaguzi ni wa vyama vyingi.
ushauri kwa waandishi wa habari hususani redio na tv ya taifa tbc:
hayo ni mawazo yangu na utafiti wangu ndogo tuu,najiandaa kuandika makala ndefu sana inayohusu taarifa za habari hapa tanzania kipindi cha uchaguzi.
- kuweni makini na waandishi uchwara ambao wanaweza kuiweka shirka mahali pagumu na likakosa mvuto kwa watazamaji walio wengi.
- kuweni makini na habari za kupendelea upande mmoja wa chama tawala,mtaleta vurugu muda si mrefu.
- tido mhando ni msomi amekaa nje anaelewa fika utaratibu wa redio ya taifa,ni kwa taifa lote.na vyama vyote vya upinzani.akijaribu kupindisha madhumuni ya kuwepo chombo hicho ataleta vurugu ambazo kuzizima itachukua maisha ya watu.tayari athari zimeshaanza kuonekana kule jangwani.
- wananchi walio wengi wanaangalia tbc na kusikiliza redio tbc kwa sababu ni redio ya taifa na siyo redio ya ccm.watanzania ni wa wamoja na hali yao inaanza kutofautiana kimapato kadri siku zinvyoongezeka.kuna siku maajabu yatatokea na yatasababishwa na uchochezi wa vyombe vya habari hususani tbc.
Nitaelezea taarifa za habari tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi uanze tanzania.safari hii hatutaki picha za vita kama zile za mengi kwenye itv.
Wakati mwingine tuwe waungwana, kusema umati mkuwa wa Chadema ni mbinu ya CCM haileti maana, je kujaa kwa mikutano ya CCM nayo ni mbinu ya wapinzani au hoja yako iko upande mmoja. Penye ukweli tuwe tunasema ukweli tuache upenzi wa kitoto.Si Michuzi tu, hata magazeti yanaripoti kuwa waliohudhuria ni wanachama wa chama chenye mkutano wa kampeni. Ni makosa makubwa na kushindwa kuelewa kuwa huo ni mkutano wa kampeni kwa raia wote. Yawezekana hii ni mbinu ya CCM ili ionekane umati mkubwa ni wanachama wao ili kutimiza azma yao ya kuiba kura na ku-claim kuwa hata picha za kampeni zinaonesha kuwa wana wanachama wengi. Waandishi wa habari kuweni makini na mahiri!!
picha na habari kwa hisani ya MICHUZI