Picha za ndege alizonunua Mwalimu Nyerere

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Siyo kwamba hawakufanya, walifanya ila kimya kimya

Angalia midude

IMG_20191027_132027.jpg
IMG_20191027_132029.jpg
IMG_20191027_132031.jpg
IMG_20191027_132035.jpg


Kikwete Anaeleza kwamba tuliachiwa ndege 14 na Nyerere



Kuna Upotoshaji wa Hali ya Juu hasa Kutoka Kwa CCM
Wakisema kuwa ndege zilikuwa za Kukodi
Wengine eti ni za Former EAC

Tuweke kumbu kumbu sawa

Baada ya EAC kuvunjika mwaka 1977 Ndege zote zilichukuliwa na Kenya kwakuwa operation na makao makuu ilikuwa kule,

Ndege za Kukodi ni Kipindi cha Mwinyi mwaka 1991 walikodi Boeing kutoka Ethiopia,

Mzee Nyerere was far different from that one whom you praise

Screenshot_20191027-195621.png
 
Uzuri mnaoponda hapa hamtafika hata 50. Ni walewale wa 5 mnapost na kujijibu uzi unafika kurasa 10.

Mnataka Serikali inunue kimyakimya halafu zipotee kimyakimya baadae. Sasa hivi ni uwazi kila mtu aone ili baadae ahoji.

Ndiyo maana watu wengi hawakujua kuwa Tz ilikuwa na ndege kipindi cha nyuma mpaka Magu alipowaeleza. Na kitu kingine serikali lazima iwaambie wananchi wake kuhusu mafanikio yao ili wawe na kujivunia nchi yao.

Kingine, kwa sasa hatuzungumzii picha za ndege za kipindi cha Baba wa Taifa. Mambo ya kuzungumzia picha bila ndege yalikuwa awamu ya 4 na 3, sasa hivi tunazungumzia ndege halisi 11 za AirTz.
 
kuna wahuni wamezifilisi... awamu ya 3 ilikuwa ya kupiga tu...

mali nyingi za uma zilipotelea awamu ya 3. na tuliyempa dhamana akajiuzia mgodi nae kwa bei ya boda boda
 
Uzuri mnaoponda hapa hamtafika hata 50. Ni walewale wa 5 mnapost na kujijibu uzi unafika kurasa 10.

Mnataka Serikali inunue kimyakimya halafu zipotee kimyakimya baadae. Sasa hivi ni uwazi kila mtu aone ili baadae ahoji.

Ndiyo maana watu wengi hawakujua kuwa Tz ilikuwa na ndege kipindi cha nyuma mpaka Magu alipowaeleza. Na kitu kingine serikali lazima iwaambie wananchi wake kuhusu mafanikio yao ili wawe na kujivunia nchi yao.

Kingine, kwa sasa hatuzungumzii picha za ndege za kipindi cha Baba wa Taifa. Mambo ya kuzungumzia picha bila ndege yalikuwa awamu ya 4 na 3, sasa hivi tunazungumzia ndege halisi 11 za AirTz.
Ongeza idadi yangu kwa wanaoponda kisha utupe idadi kamili baadae.
 
Back
Top Bottom