Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,899
Akina Kim Il wanapokeza kijiti huyu wa sasa hivi aliyerithi ndio kwanza ana miaka 20 wanavyomuheshimu unaweza kusema sijui nini wakorea wameaminishwa hakuna watawala wengine zaidi ya akina Kim IlHawa jamaa sijui wamelishwa limbwata gani tu na hao kina Kim...
Kim Il Jong....Kim Il Sung....Kim Il Un lol
Akina Kim Il wanapokeza kijiti huyu wa sasa hivi aliyerithi ndio kwanza ana miaka 20 wanavyomuheshimu unaweza kusema sijui nini wakorea wameaminishwa hakuna watawala wengine zaidi ya akina Kim Il
hao ndio viongozi wanaowapenda.....mtasha mmoja eti alipoona hayo maziko akaniambia....aah hawa jamaa watakuwa wameshurutishwa kulia...Hawa jamaa sijui wamelishwa limbwata gani tu na hao kina Kim...
Kim Il Jong....Kim Il Sung....Kim Il Un lol
hao ndio viongozi wanaowapenda.....mtasha mmoja eti alipoona hayo maziko akaniambia....aah hawa jamaa watakuwa wameshurutishwa kulia...
Akina Kim Il wanapokeza kijiti huyu wa sasa hivi aliyerithi ndio kwanza ana miaka 20 wanavyomuheshimu unaweza kusema sijui nini wakorea wameaminishwa hakuna watawala wengine zaidi ya akina Kim Il
Mlimani city samaki samaki...Mtasha umekutana naye wapi?
nasikia jeshi lote sasa hivi limenyoa punky kwa amri!!! lolWanakisia atakuwa na 27 mpaka 28...dogo sasa hivi naamwabiwa kawa maarufu kwa style yake ya kunyoa panki
[
Mlimani city samaki samaki...
mkuu hawajalazimishwa...wakorea wanawapenda sana watawala wao.....nasikia jeshi lote sasa hivi limenyoa punky kwa amri!!! lol
Kim Jong Il....Yule owner wa Samaki Samaki?
wanakisia atakuwa na 27 mpaka 28...dogo sasa hivi naambiwa kawa maarufu kwa style yake ya kunyoa panki
yaani hata kubaleleeeeeeee ajabaleeeeeeeee jamani neema ikiamua kukwangukia loh
namie kim didy kuanzia leo