Picha za Lissu, Nassari na Heche, Arumeru Mashariki

Picha za Lissu, Nassari na Heche, Arumeru Mashariki

ngurati

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2011
Posts
221
Reaction score
240
Moja ya mikutano iliyofanyika kwenye operedheni M4C pamoja daima ni uliofanyika kwenye kijiji cha olkung'wado kata ya ngarenanyuki - Arumeru mashariki leo.
wameunguruma Kamanda Lissu, Nassari na heche. Kadi zaidi ya 400 za ccm zimerudishwa kwa hamasa. Ona picha
 

Attachments

  • IMG-20140124-WA0010.jpg
    IMG-20140124-WA0010.jpg
    92.8 KB · Views: 2,904
  • IMG-20140124-WA0011.jpg
    IMG-20140124-WA0011.jpg
    79.9 KB · Views: 2,268
  • IMG-20140124-WA0009.jpg
    IMG-20140124-WA0009.jpg
    77.8 KB · Views: 2,179
Hivi huku kongwa kwa ndugai....wanakuja lini
 
Mwaka huu, mawakala wa Chama Cha Magamba a.k.a Chama Cha Mizigo, mtalia kilio cha kenge! Baada ya operesheni yenu ya "Operesheni MM", sasa Operesheni Pamoja Daima inawabamiza kila kona!
 
Moja ya mikutano iliyofanyika kwenye operedheni M4C pamoja daima ni uliofanyika kwenye kijiji cha olkung'wado kata ya ngarenanyuki - Arumeru mashariki leo.
wameunguruma Kamanda Lissu, Nassari na heche. Kadi zaidi ya 400 za ccm zimerudishwa kwa hamasa. Ona picha
Mkuu nasikia msando alberto kazomewa leonimeweka hiyo thread fasta wakaifuta tujulishe kama unajuwa zaidi juu ya hii kitu
 
mbona watu wachaache

Teh teh teh!!
mtaweweseka sana awamu hii!
naona kila ukiona post za makamanda unapumlia kinyeo!!
umetumia kipimo gani ukatoka na majibu haya? ushaambiwa kuwa hapo ni kijijini lakn nyomi lake halipimiki!
 
Back
Top Bottom