Picha yenye kutafakarisha sana

Picha yenye kutafakarisha sana

Status
Not open for further replies.

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,882
Reaction score
828,453
Achana na huo mpangilio wa ukaaji.. Achana na makochi mazuri na zulia jekundu.. Itazame kiroho zaidi hata kama nyuso zao hazionekani ama hazionekani vema
Ni picha iliyobeba hisia za majuto.. Wote walioko hapo walitokea majumbani kwao kwenye vitanda vyao, wakapata nafasi ya kujiandaa na kuvaa nguo nzuri na safi na kuendeshwa hadi kazini
Kisha wote wakakusanyika kushuhudia kesi ya mahabusu wa kisiasa mwenye tuhuma za uhaini akiwa katokea mahabusu bila familia yake ndugu jamaa marafiki
Akiwa na ulinzi mkali wa magereza polisi na usalama.. Cha ajabu ana tabasamu pana ana furaha ana nuru. . korti iko kimya ikimsikiliza kwa hamasa na tafakuri kuu
Linganisha maudhui ya kortini na ya hapa kwenye hii picha... Kuna ujumbe mbingu zinajaribu kutuambia.. Tuihifadhi vema hii
Baada ya court session.. Wao wamerudi majumbano kwao lakini wakiwa wamejawa fadhaa.. Huku mtuhumiwa akirudishwa rumande akiwa na tabasamu kuu

By the way! Ni nani aliamua kuvujisha hii picha? Jibu ni moja tuu... Nguvu ya asili...Ila sidhani kama kibarua chake kitasalimika!
1751429631940.png


Nature is taking its course!
Good morning TanganyikaView attachment 3390796

===============

Ufuatiliaji wa kimtandao uliofanywa na JamiiCheck kwa kutumia Google reverse image search ulibaini kuwa picha hiyo ilichapishwa kwa mara ya kwanza katika ukurasa wa Ikulu kwenye mtandao wa X tarehe 13, Juni 2024.

Rais Samia alikuwa akifuatilia Bunge la Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2024/25 kwa njia ya runinga akiwa Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma. Hotuba hiyo ilikuwa ikisomwa bungeni na Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba.

Picha hiyo imepotoshwa kwa kubadilishiwa picha ya Televisheni, ambapo imeondolewa iliyokuwa ikonesha Televisheni ya Taifa iliyokuwa ikirusha matangaza ya bajeti kuu ya serikali 2024/25 na kuweka picha ya matangazo ya ITV inayohusu matangazo mbashara ya Kesi inayomkabili Tundu Lissu.

Pia soma, Pre GE2025 POTOSHI Picha ya Rais Samia akifuatilia kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu
 
Achana na huo mpangilio wa ukaaji.. Achana na makochi mazuri na zulia jekundu.. Itazame kiroho zaidi hata kama nyuso zao hazionekani ama hazionekani vema
Ni picha iliyobeba hisia za majuto.. Wote walioko hapo walitokea majumbani kwao kwenye vitanda vyao, wakapata nafasi ya kujiandaa na kuvaa nguo nzuri na safi na kuendeshwa hadi kazini
Kisha wote wakakusanyika kushuhudia kesi ya mahabusu wa kisiasa mwenye tuhuma za uhaini akiwa katokea mahabusu bila familia yake ndugu jamaa marafiki
Akiwa na ulinzi mkali wa magereza polisi na usalama.. Cha ajabu ana tabasamu pana ana furaha ana nuru. . korti iko kimya ikimsikiliza kwa hamasa na tafakuri kuu
Linganisha maudhui ya kortini na ya hapa kwenye hii picha... Kuna ujumbe mbingu zinajaribu kutuambia.. Tuihifadhi vema hii
Baada ya court session.. Wao wamerudi majumbano kwao lakini wakiwa wamejawa fadhaa.. Huku mtuhumiwa akirudishwa rumande akiwa na tabasamu kuu

By the way! Ni nani aliamua kuvujisha hii picha? Jibu ni moja tuu... Nguvu ya asili...Ila sidhani kama kibarua chake kitasalimika!

Nature is taking its course!
Good morning TanganyikaView attachment 3390796

Pre GE2025 POTOSHI Picha ya Rais Samia akifuatilia kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu​


Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uhalisia wa taarifa hii umepindishwa ili kupotosha

Source #1View Source #1Source #2View Source #2
Picha inaelezea vitu vingi
1751361240294.png


Tunachokijua
Tarehe 01, Julai 2025 Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu imeendelea kuunguruma huku ikirushwa mbashara kwa njia ya mtandao na vyombo mbalimbali vya habari ili kutoa nafasi kwa umma kufuatilia kinachojiri katika kesi hiyo iliyoarishwa hadi Julai 15, 2025.

Baadhi ya watumiaji wa mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwemo Instagram na X walichapisha picha inayomuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na wasaidizi wake, wakionekana kufuatilia kesi inayomkabili Tundu Lissu, kupitia matangazo mbashara yaliyorushwa na kituo cha televisheni cha ITV.


Je, ni upi uhalisia wa picha hiyo?

Ufuatiliaji wa kimtandao uliofanywa na JamiiCheck kwa kutumia Google reverse image search umebaini kuwa picha hiyo ilichapishwa kwa mara ya kwanza katika ukurasa wa Ikulu kwenye mtandao wa X tarehe 13, Juni 2024.

Rais Samia alikuwa akifuatilia Bunge la Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2024/25 kwa njia ya runinga akiwa Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma. Hotuba hiyo ilikuwa ikisomwa bungeni na Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba.

Picha hiyo imepotoshwa kwa kubadilishiwa picha ya Televisheni, ambapo imeondolewa iliyokuwa ikonesha Televisheni ya Taifa iliyokuwa ikirusha matangaza ya bajeti kuu ya serikali 2024/25 na kuweka picha ya matangazo ya ITV inayohusu matangazo mbashara ya Kesi inayomkabili Tundu Lissu
1751363784879-png.3390216

Attachments​

 
Unadhani watakubali?
Ukiangalia picha ya chini unamuona tena samia akiwa amekaa kwa pembeni kwenye tv (ndani) halafu ukisoma maelezo yanasema alikuwa anasikiliza bajeti akiwa ikuu ya chamwino.

Swali samia aliwezaje kuonekana kwenye tv na muda huohuo aaangalie mubashara?

Bado sijawaelewa hawa jamiicheck
 
 
Ukiangalia picha ya chini unamuona tena samia akiwa amekaa kwa pembeni kwenye tv (ndani) halafu ukisoma maelezo yanasema alikuwa anasikiliza bajeti akiwa ikuu ya chamwino.

Swali samia aliwezaje kuonekana kwenye tv na muda huohuo aaangalie mubashara?

Bado sijawaelewa hawa jamiicheck
Ukweli ni kwamba walifuatilia kesi ila kwa picha pengine imehaririwa
 
Ukiangalia picha ya chini unamuona tena samia akiwa amekaa kwa pembeni kwenye tv (ndani) halafu ukisoma maelezo yanasema alikuwa anasikiliza bajeti akiwa ikuu ya chamwino.

Swali samia aliwezaje kuonekana kwenye tv na muda huohuo aaangalie mubashara?

Bado sijawaelewa hawa jamiicheck
Picha zote mbil ni edited.

Sahihi ni hii
FB_IMG_1751419209767.jpg
 
General Forums
Sports &
Entertainment

Education, Tech
& Professional

JF English Only
Forums

East African
Forums

Fichua Uovu
Stories of Change
JamiiCheck
My Account My Threads Subscribed Threads Subscribed Forums
Change Theme

Start Discussion Staff Online

Pre GE2025 POTOSHI Picha ya Rais Samia akifuatilia kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu​

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uhalisia wa taarifa hii umepindishwa ili kupotosha
Jump to newSubscribe
•••
Source #1View Source #1Source #2View Source #2
Picha inaelezea vitu vingi
1751361240294.png


Tunachokijua
Tarehe 01, Julai 2025 Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu imeendelea kuunguruma huku ikirushwa mbashara kwa njia ya mtandao na vyombo mbalimbali vya habari ili kutoa nafasi kwa umma kufuatilia kinachojiri katika kesi hiyo iliyoarishwa hadi Julai 15, 2025.

Baadhi ya watumiaji wa mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwemo Instagram na X walichapisha picha inayomuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na wasaidizi wake, wakionekana kufuatilia kesi inayomkabili Tundu Lissu, kupitia matangazo mbashara yaliyorushwa na kituo cha televisheni cha ITV.


Je, ni upi uhalisia wa picha hiyo?

Ufuatiliaji wa kimtandao uliofanywa na JamiiCheck kwa kutumia Google reverse image search umebaini kuwa picha hiyo ilichapishwa kwa mara ya kwanza katika ukurasa wa Ikulu kwenye mtandao wa X tarehe 13, Juni 2024.

Rais Samia alikuwa akifuatilia Bunge la Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2024/25 kwa njia ya runinga akiwa Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma. Hotuba hiyo ilikuwa ikisomwa bungeni na Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba.

Picha hiyo imepotoshwa kwa kubadilishiwa picha ya Televisheni, ambapo imeondolewa iliyokuwa ikonesha Televisheni ya Taifa iliyokuwa ikirusha matangaza ya bajeti kuu ya serikali 2024/25 na kuweka picha ya matangazo ya ITV inayohusu matangazo mbashara ya Kesi inayomkabili Tundu Lissu
1751363784879-png.3390216

Attachments​


..ina maana Mama hakufuatilia?

..Wasaidizi hawakumtupia hata ka-clip kwenye simu?

..basi amepitwa!!
 
Ukiangalia picha ya chini unamuona tena samia akiwa amekaa kwa pembeni kwenye tv (ndani) halafu ukisoma maelezo yanasema alikuwa anasikiliza bajeti akiwa ikuu ya chamwino.

Swali samia aliwezaje kuonekana kwenye tv na muda huohuo aaangalie mubashara?

Bado sijawaelewa hawa jamiicheck
Acha ushamba zile ni picha mbili tofauti upande mmoja ni Mwigulu alafu upande mwingine wameonyesha Samia akifuatilia bajeti
 
Acha ushamba zile ni picha mbili tofauti upande mmoja ni Mwigulu alafu upande mwingine wameonyesha Samia akifuatilia bajeti
Sawa mjanja.

Lakini niambie kwenye picha ile ya chini mwisho hapo huoni kuna mwigulu na samia kwa pembeni halafu then kuna samia akiwa ikulu akijitazama kwenye runinga?


Ushamba unatoka wapi hapa yaani samia anajiona live kwenye tv na muda huo mbunge la bajeti liko live!
 
Achana na huo mpangilio wa ukaaji.. Achana na makochi mazuri na zulia jekundu.. Itazame kiroho zaidi hata kama nyuso zao hazionekani ama hazionekani vema
Ni picha iliyobeba hisia za majuto.. Wote walioko hapo walitokea majumbani kwao kwenye vitanda vyao, wakapata nafasi ya kujiandaa na kuvaa nguo nzuri na safi na kuendeshwa hadi kazini
Kisha wote wakakusanyika kushuhudia kesi ya mahabusu wa kisiasa mwenye tuhuma za uhaini akiwa katokea mahabusu bila familia yake ndugu jamaa marafiki
Akiwa na ulinzi mkali wa magereza polisi na usalama.. Cha ajabu ana tabasamu pana ana furaha ana nuru. . korti iko kimya ikimsikiliza kwa hamasa na tafakuri kuu
Linganisha maudhui ya kortini na ya hapa kwenye hii picha... Kuna ujumbe mbingu zinajaribu kutuambia.. Tuihifadhi vema hii
Baada ya court session.. Wao wamerudi majumbano kwao lakini wakiwa wamejawa fadhaa.. Huku mtuhumiwa akirudishwa rumande akiwa na tabasamu kuu

By the way! Kwanini hili litokee? Jibu ni moja tuu... Nguvu ya asili...!

Nature is taking its course!
Good morning Tanganyika
Hilo picha nami nimelliona, nikataka kujuwa maana yake ni nini hasa?
Nani aliyefanya huu mpango wa kutuonyesha hilo picha, na ujumbe nyuma yake ni upi hasa!

Hawa watu wamekusanywa (wamejikusanya), ni akina nani hawa kimadaraka, na kwa nini ilikuwa muhimu kwao kuwa kwenye p icha hili?

Jambo lililo wazi ni kwamba Tundu Lissu kapewa fursa nadra sana kuzungumza na waTanzania wote. Kila mtu ameshuhudia na kupima uwezo wake alio nao katika nafasi ya uongozi wa nchi hii. Ni kama amepewa usaili (interview) mbele ya halaiki ya waajiri.
Hadi sasa kaitendea haki fursa hiyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom