Hakuna ubaya. Mtoto wako sio lazima awe 'biological'. Unaweza kuasili mtoto aliezaliwa na wazazi wengine au kuoa manamke/kuolewa na mwanaume ambae ameshazaa na mwanaume/mwanamke mwingine.
Automatically huyo mtoto anakuwa wako. Kipi cha ajabu hapo?
Hakuna ubaya. Mtoto wako sio lazima awe 'biological'. Unaweza kuasili mtoto aliezaliwa na wazazi wengine au kuoa manamke/kuolewa na mwanaume ambae ameshazaa na mwanamke/mwanamke mwingine.
Automatically huyo mtoto anakuwa wako. Kipi cha ajabu hapo?
Mtoto kafanana sana macho na baba yake,hizo kucha zilivyofupifupi ni baba yake kabisa.....Yaan lip ya chini hii baba yake huyu hapa....Usiku ndo kabisa hajui kulala kama baba yake!!! Alisikika mama mmoja akimnadi mwanae Kwa mashost.