Picha ya ukutani inatoa "jasho"

Picha ya ukutani inatoa "jasho"

Mbilikimo Mfupi

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2015
Posts
978
Reaction score
1,209
Waungwana,

Miezi 4 iliyopita nilisafiri kikazi na kuacha picha ya ukutani ikiwa inapendeza na nzuri.

Sasa nimerudi nimekuta picha ina alama ya michirizi ya jasho kutoka kichwani kupitia mashavuni.

Utakuwa mkono wa mtu?
 
Waungwana
Miezi 4 iliyopita nilisafir kikazi na kuacha picha ya ukutani ikiwa inapendeza na nzuri.

Sasa nimerud nimekuta picha ina alama ya michirizi ya jasho kutoka kichwani kupitia mashavuni.

Utakuwa mkono wa mtu?
Njoja mshana jr aje akupe maelezo ya 'kisayansi'!
 
Mbona umefikiria hivyo kwanza aiseee
 
Mizimu ya kwenu imekasirika Sana..usipokuwa makini itakumaliza haraka...
 
Nyumba hyo iko maeneo yenye joto sana......so km iko kwenye frame lzm hali hyo itokee..........hata zile picha zinazohifadhiwa kwenye album huwa zinapata unyevunyevu.......!!
 
Waungwana,

Miezi 4 iliyopita nilisafiri kikazi na kuacha picha ya ukutani ikiwa inapendeza na nzuri.

Sasa nimerudi nimekuta picha ina alama ya michirizi ya jasho kutoka kichwani kupitia mashavuni.

Utakuwa mkono wa mtu?
Hapana linaweza kuwa kalio la mtu au gegedo la mtu
 
Back
Top Bottom