Kufikiri kwetu kumekuwa kwa pupa sana, kuna kitu kimepandikizwa kwa watanzania cha kutokujikubali na kuamua juu ya mstakabali wetu wenyewe mpaka tuamuliwe na wenye madaraka tu utazania wao ni malaika, wakati wanatupenda wakati wa uchaguzi tu ukiisha wanatutupilia mbali huko.