Picha ya siku

Chanjo ya Surua,pepopunda,ndui pamoja na kifua kikuu ni lazima,kwa nini hii isiwe lazima?
Kufikiri kwetu kumekuwa kwa pupa sana, kuna kitu kimepandikizwa kwa watanzania cha kutokujikubali na kuamua juu ya mstakabali wetu wenyewe mpaka tuamuliwe na wenye madaraka tu utazania wao ni malaika, wakati wanatupenda wakati wa uchaguzi tu ukiisha wanatutupilia mbali huko.
 
Kwenye picha hapo karibu nusu ya hao manjagu ni kutoka Lake zone,Lake zone ndo sehemu ya kwanza kabisa kukamatwa Mbowe tangia mama aliposhika madaraka

Hii picha inatafsiri nyingi asee.
Hii ina maana atapigika kule. Kanda maalum
 
Waziri mkubwa kasema chanjo zimefika.Ngoja tuone ubishi wenu kama mtahamia kambi ya kaskazini mwa Kenya?Sijui inaitwaje vile?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Yeye anasema siyo lazima na hapo ndo tunaelewana nae sana
 
Huyo ndo Dorothy Gwajima? Nauliza tu wakuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…