Picha ya Obama Iliyozua Utata.

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Apr 23, 2015
18,783
66,961
Akiwa anacheza tango nchini Argentina
CeRogzFWAAEBsmQ.jpg
 
Wabongo kila kitu mnacomplicate ndio maana tunazeeka na kufa haraka. Have fun Barack!
 
Nimecheki video hiyo hata mke wake alikuwa anacheza na jamaa pembeni. Hizo ni mila zao wala sioni tatizo. Tatizo ni pale Waafrica tunapoiga hadi ushoga.

Hata mi nimechek hiyo video yake haina lolote la ajabu, zaidi Obam alikua hajui kucheza
 
Tushajizoea sisi Waafrica hasa waTanzania huwa tunawaza ujinga ujinga muda wote
 
Back
Top Bottom