Superman
R I P
- Mar 31, 2007
- 5,693
- 1,707
Wale Wataalamu wa kusoma picha na kuzichambua, mnasemaje kuhusu picha hii kufuatia usemi wa Mh. Edward Lowassa, Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu kuwa "Yuko Fit Kwa Mapambano"? Source: Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo
TBC1 iliripoti taarifa za ujio wa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa akitokea Ujerumani. Lowassa alitoa ufafanuzi wa safari yake ya Ujerumani na utata uliotawala juu ya afya yake. Ameweka wazi kuwa afya yake ni safi; hana kisukari wala stroke. Kwamba yuko fit kwa mapambano.
TBC1 iliripoti taarifa za ujio wa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa akitokea Ujerumani. Lowassa alitoa ufafanuzi wa safari yake ya Ujerumani na utata uliotawala juu ya afya yake. Ameweka wazi kuwa afya yake ni safi; hana kisukari wala stroke. Kwamba yuko fit kwa mapambano.