md4doctor2000
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 736
- 315
Mkuu huo ni mto Kiwira hapo panaitwa KIBWE au "daraja la Mungu" ipo chuo cha Magereza kiwira, It's amazing kwa kweli, nimevuka hapo zaidi ya mara tano. Huo mto maeneo ya huko una maajabu sana kiasi hadi chuo cha magereza kimepiga marufuku wanachuo kufanya shughuli yoyote kwenye mto huo.
Mkuu huo ni mto Kiwira hapo panaitwa KIBWE au "daraja la Mungu" ipo chuo cha Magereza kiwira, It's amazing kwa kweli, nimevuka hapo zaidi ya mara tano. Huo mto maeneo ya huko una maajabu sana kiasi hadi chuo cha magereza kimepiga marufuku wanachuo kufanya shughuli yoyote kwenye mto huo.
Aah wapi.! kipoke hakuna mto mkubwa hivyo, hiyo ni Magereza kiwira kuje chuo ukipita Lugombo..
Hapa natamani i mbalaga, na bifu jha ngulubhe, na katapela kwa pembeni
Twende nikupeleke dogo, nauli toka dar 50,000/= tu.
inaitwa daraja la Mungu, ni juu ya mto kiwira!
ungajhobha ulo kangi, undilisye fijho gwe nongi!Mkuu kuna wanachuo walíkuwa wanafua kwenye mto huo na kuogelea walizama katika namna yenye utata, inasemekana walitabasamu na kuwapungia mkono wenzao na kupotea...