Picha ya leo, ipe maneno

Ninyi wa wadada nifah na charty nimewakubali, naona mmekomaa zis taim magamba wataimba haleluya kuu.

Au mna hasira za kupigwa chini na Magamba kwenye Vitu Maalum???
bill sina hasira yoyote ndugu yangu ila waliniumiza sana kunikatia mgombea wangu kwa chuki binafsii sasa nasema hivi mwambie nape aje achukue kadi yake no.AG. 638619_! naenda zangu CDM njia nyeupeee!!teh
 
Itakuwa photo shop tu, angalia lowassa kadi alivyoshika, mbowe njoo ututhibitishie picha hii

Mimi Kitendo Chake Cha Kuinua Kadi Ya Chama Kwa Mkono Wa Kushoto Ndo Kunanipa Mashaka.Nahisi Kuna Dalili Za Kuuziwa Mbuzi Kwenye Kiroba
 
Mimi Kitendo Chake Cha Kuinua Kadi Ya Chama Kwa Mkono Wa Kushoto Ndo Kunanipa Mashaka.Nahisi Kuna Dalili Za Kuuziwa Mbuzi Kwenye Kiroba

Kuna sheria/kanuni ya kushika na kuinua kadi siku hizi. Kweli mmefiliska
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…