TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,763
- 4,046
Mbona kipo mkuu,embu jaribisha kwangu kama kitakataa!Leo kitufe cha like kimeenda wapi??
Mbona kipo mkuu,embu jaribisha kwangu kama kitakataa!Leo kitufe cha like kimeenda wapi??
Precisely mkuu!Interesting
Mzazi aliyemwandaa vyema mwanaye kielimu na kiafya anajiwekea mtaji mzuri wa kupata matunzo mema uzeeni!
Kinyume chake ni kwamba malezi mabaya kwa mwanao ni maandalizi mema ya strees na stroke uzeeni
hii coment nimeipenda sana.
Kuwa makini sana usichanganye "wajibu" na "haki" usimuandike deni mwanao kwa kuwa umetimiza wajibu wako kumlea. Ondoa dhana ya uwekezaji kwenye malezi.
WENYE MASIKIO WAMENISIKIA NA WENYE AKILI WAMENIELEWA.
Teh teh teh!kauli tata!
Tumekuelewa umekusudia nini lakini hatuwezi kukubaliana nawe. Sasa matunzo ya huyu mama aliyekwisha kuzeeka yanawajibishwa kwa nani. Tu binaadamu na wala si wanyama ambao mtoto tu hutunzwa lakini sisi binaadamu tunahitaji kuowajibika kwa mwenye kuweza amsaidie asieweza. Mzee humsaidia mwanawe kwa asiyo na uwezo nayo na mzee atasaidiwa na mwanawe pale anapofikia umri wa kutaka msaada. Wote wawili wakiwa kwenye umri wa kujitegemea hakuna haja ya kusaidiana bali kuwepo kwa uhusiano wa mtoto na mwana.Kuwa makini sana usichanganye "wajibu" na "haki" usimuandike deni mwanao kwa kuwa umetimiza wajibu wako kumlea. Ondoa dhana ya uwekezaji kwenye malezi.
WENYE MASIKIO WAMENISIKIA NA WENYE AKILI WAMENIELEWA.
an old one looks downward while a young one looks upward-wazee wanatazama walikotoka while vijana wanaangalia waendako
Mkuu upo nje kabisa ya ukweli,kumbuka hawa wote ni wanaume!
Tumekuelewa umekusudia nini lakini hatuwezi kukubaliana nawe. Sasa matunzo ya huyu mama aliyekwisha kuzeeka yanawajibishwa kwa nani. Tu binaadamu na wala si wanyama ambao mtoto tu hutunzwa lakini sisi binaadamu tunahitaji kuowajibika kwa mwenye kuweza amsaidie asieweza. Mzee humsaidia mwanawe kwa asiyo na uwezo nayo na mzee atasaidiwa na mwanawe pale anapofikia umri wa kutaka msaada. Wote wawili wakiwa kwenye umri wa kujitegemea hakuna haja ya kusaidiana bali kuwepo kwa uhusiano wa mtoto na mwana.
Usijijumuishe pamoja na wenye akili, wewe una masikio na hakika umesikia, wewe sikia wenzako wanaelewa ni kwamba mzazi kumlea mtoto ni wajibu, na mtoto kumtunza mzazi ni hisani.
Hii ni kanuni ambayo wenye akili hawapingani nayo, bali wenye masikio hupingana nayo.
Mkuu sasa nimekuelewa!Mkuu usitoke nje bakia hapo hapo kwa mama na mwana na utata utayeyuka kabisa!