Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Mzazi aliyemwandaa vyema mwanaye kielimu na kiafya anajiwekea mtaji mzuri wa kupata matunzo mema uzeeni!
Kinyume chake ni kwamba malezi mabaya kwa mwanao ni maandalizi mema ya strees na stroke uzeeni
Si kila mzazi alitenda wema kwa mtoto wake!!Amlaaniye mzazi wake na afe.
Teh teh teh!kauli tata!Kutendeana kwa zamu!
Nakubaliana na wewe mkuu!usitukane wakunga uzazi ungalipo,,,,,,,
Mkuu upo nje kabisa ya ukweli,kumbuka hawa wote ni wanaume!Anamuosha Madam, na yeye akitoka pia anaenda nyumba ndogo anaoshwa na yeye ndio maana anachekelea kwa dharaau
Ni haki yako kabisa mkuu!Duh, nampenda sana Mom
Umenikumbusha mbali sana,---- mzazi mmoja aliwalea vibaya watoto wake,hatimaye watoto walimsababishia kifo!Mzazi aliyemwandaa vyema mwanaye kielimu na kiafya anajiwekea mtaji mzuri wa kupata matunzo mema uzeeni!
Kinyume chake ni kwamba malezi mabaya kwa mwanao ni maandalizi mema ya strees na stroke uzeeni
Ndiyo maana yake!Nitunze sasa ntakutunza baadae
Ni kweli mkuu,kwakweli inabeba maana nzima ya hii katuni!hii coment nimeipenda sana.