Picha ya leo: Bush anashangaa ukaribu wa watanzania?

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,890
6,898


Picha hii ya inatoa taswira fulani ambayo rais wa Zamani wa Marekani George Bush anavyoonyesha kitu ambacho kwa maneno vigumu kutamkika.
 
Anamwambia JK, "hivi kweli upo tayari kuniachia mbuga yote ya madini, Selous nichimbe Uranium na pori lote huko Namtumbo!!!"
 
anamwambia mkwerre: You are very handsome

Bush alikuwa anabembeleza kuachiwa ardhi yenye hifadhi ya madili ya uranium huko Namtumbo songea karibu na mbuga ya Serious, maana wamarekani wangezumbaa Mrusi angekuja kazi kama si wakorea.
 
Anamwambia JK, "hivi kweli upo tayari kuniachia mbuga yote ya madini, Selous nichimbe Uranium na pori lote huko Namtumbo!!!"



Mzungu anapobembeleza kupata kitu hata yuko tayari kuvua tai aonekane yupo mwenzako, lakini akisha pata utamwona kishaanza kuweka distance kati yako na yake.
 
Hizo picha zimebeba ujumbe mzito sana, mzungu siyo boya yeye ajinyenyekeze namna hiyo kwa ngozi nyeusi.
 
Bushi anauliza, did the Tanzanian really trust you to be their president? Amazing, isn't it?

Inawezekana, maana anashangaa anavyoendelea kupitisha bakuli wakati wazungu wanamezea utajiri uliopo.
 


Wazungu nao wakiamua kujilegeza huwezi kuamini, ndivyo anavyofanya huyu aliyekuwa anaogopwa na dunia nzima aliposhika dola Marekani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…