Mkamanda wana wakati mgumu sana kipindi hiki. Wasipofanya maamuzi yao kwa busara na hekima, na wenyewe watawafuata NCCR Mageuzi na CUF.
Na vyenyewe kama vyama vikuu enzi hi,o kabla ya Chadema kuibuka! vilipotea kwenye siasa, kutokana tu na ubinafsi wa viongozi wao.