PICHA YA KIBABE

PICHA YA KIBABE

Chupayamaji

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2017
Posts
5,780
Reaction score
13,695
Hamna picha bora kama hiii kama ni Edit basi wametisha.
IMG-20190215-WA0003.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyefanya pichaduka a.k.a photoshop amemficha mzee wangu aliye upande wa kushoto mwa Gaddafi.
 
Mbona kama Robert Nesta Marley hakuwepo kwenye eneo hilo??Picha zinaonesha sehem tofautitofauti.
 
Umri wa Mandela, mbona kama upo sawa na wa Tyson!!!!!, ina maana walikuwa umri sawa wakati huo?
 
Back
Top Bottom