Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,787
- 13,557
inawezekana ni shujaa ndani ya fikra zetu tu... after all zidumu fikra za mwenyekiti.Picha nzuri sana ingawa ni Photoshop! Lakini mbona shujaa wetu Nyerere wamemsahau???
inawezekana ni shujaa ndani ya fikra zetu tu... after all zidumu fikra za mwenyekiti.
Angalia langi za picha hiyo utajua zili wekwa wakati tofauti
Langi=RangiAngalia langi za picha hiyo utajua zili wekwa wakati tofauti
Hamna picha bora kama hiii kama ni Edit basi wametisha.View attachment 1023182
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyerere and ushujaa gani?Picha nzuri sana ingawa ni Photoshop! Lakini mbona shujaa wetu Nyerere wamemsahau???