picha ya mtuhumiwa haiwezi onyeshwa kwani , mtuhumiwa anatakiwa abadili badilike kutokana na hali, leo anaweza kuwa mkenya, kesho msomali, keshokutwa msanji, mtondogo anakuwa zuku, hiyo yote inategemeana na upelelezi unavyo endelea na kama wameweza kuwadanganya.