Kajuni
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 486
- 186
Hii habari naweza kuilinganisha serikari yetu na tabia ya wanywaji pombe... mwanzoni kabla kinywaji akijakole wanywaji wengi mara nyingi utembelea chooni kwa kujistili kwa kuwa ndio taratibu. Lakini pindi kinywaji kinapokolea mlevi huisi kwamba watu hawamuoni na anaweza kujisaidia mchana kweupeeeeeee!!! Sasa naona KOVA amelewa na ameamua kuchafua hali ya hewa mbele ya umati wa watu... kweli TANZANIA ni Zadi uijuavyo....