Wakuu nimeiona hili bango la Mgombea wa CCM bwan Jk ikiwa imechakachuliwa .Inasemekana vijana wa CCM waliokuwa wanabandika ndio wameichakachua . Msg sent.
Wakuu turudishieni ile ya mweleka wa jangwani, ile ya kukwidwa na mganga wa kienyeji- Mwanza tuzidi kuona hizo sinema. ndo maana TZ tumechoka, tunaongozwa na majini yanayofanya vituko hadharani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.